Dunia imejaa watu waongo

Dunia imejaa watu waongo

Uko sahihi kwa mtazamo wako, ila kiukweli mambo mengi hutokea kabla hatujakomaa au kuelewa maisha, lakini haimaanishi Mungu alituacha.. Badala ya kuuliza 'kwanini', jaribu kuuliza 'nifanye nini sasa', hebu jitahidi kuangalia kitu cha kufanya badala ya kualumu tafuta solution tu maana maumivu ya zamani yanaweza kuwa sehemu ya ushuhuda wako..
Wewe tutaongea mpka kesho ila huwez kunielewa
 
S
Una uhakika changamoto nazopitia ni nyepesi mpka nikiona za watu wengine nitafuta uzi? Hapo sijaandika changamoto hata moja nilichokiandika hapo kinatokana na ninachopitia ndio maana kuna watu hujiua kwa sababu ya watu kama nyie mtu akija kwako badala umtie moyo unaanza kusema ooh,changamoto yako ni ndogo kwan unadhan watu wote tupo sawa mpka tuwe na mapokeo yanayofanana ?
Siwezi sema changamoto zako ni rahisi kuzikabili ila nina uhakika mkubwa changamoto zako siyo za kipekee. Japo hujazitaja, zitakua ni zilezile wengi wetu (siyo wote) tunapitia kama alivyokujuza mdau wetu hapo. Amini utashinda.
 
1 ndoa ni utapeli
2 dunia imejaa unafki
3 dunia sio sehem nzuri ya kuishi
4 Familia sio kila kitu
5 kuamini kiumbe mwanadamu ni ujinga
6 kama kungekua na option ya kuchagua uzaliwe au usizaliwe ningechagua kutokanyaga kwenye dunia hii iliyojaa watu wabaya
7 sina hakika kama Mungu yupo
8 I hate everything 😒
Namba 8 imeeleza unachokijua
 
Wewe tutaongea mpka kesho ila huwez kunielewa
Umechagua kutonielewa, unatafuta huruma za watu ila sio msaada! Umeleta mada mezani ila unamajibu yako mfukoni tayari! Unatafuta majibu ila tayari unayo, ushauri upo wa aina nyingi, kimwili, kiroho na kisaikolojia!

Kila la kherii!
 
Umechagua kutonielewa, unatafuta huruma za watu ila sio msaada! Umeleta mada mezani ila unamajibu yako mfukoni tayari! Unatafuta majibu ila tayari unayo, ushauri upo wa aina nyingi, kimwili, kiroho na kisaikolojia!

Kila la kherii!
Natafuta huruma tena aiseee haya basi nihurumie
 
1 ndoa ni utapeli
2 dunia imejaa unafki
3 dunia sio sehem nzuri ya kuishi
4 Familia sio kila kitu
5 kuamini kiumbe mwanadamu ni ujinga
6 kama kungekua na option ya kuchagua uzaliwe au usizaliwe ningechagua kutokanyaga kwenye dunia hii iliyojaa watu wabaya
7 sina hakika kama Mungu yupo
8 I hate everything 😒
Kulingana na binadamu mbona na sisi unataka tuamini mawazo ama akili zako au ni hisia zako
 
Me nina 30 nimeshaenda kuzimu na kurudi hapa hapa duniani, yani cha moto nimekiona.

Kwa kifupi hakuna pigo halijanipiga, kutoka kila kona. Si magongjwa, si uchumi, si mahusiano, labda kifo tu nimeepushwa sijafa, sijafiwa lakini watu hao hao walio hai wanakufanya uone bora ukalale njaa kwenye mti kuliko kuwa karibu nao.

Nikimuangalia Ayubu najiona mimi kabisa.

Maumivu yangu yamenipeleka kwa MUNGU wangu.

Kadri navyoona uovu ndivyo navyouona uso wa MUNGU: yeye ni kinyume kabisa uovu.

Najua kwasababu alishajifunua kwenye sheria zake na kupitia YESU.

Muangalie aliyekuumiza kwa hakika ameenda kinyume na MUNGU alivyoagiza.

Possibly na wewe ushaenda kinyume mara nyingi na umeumiza wengine, na MUNGU alikuacha.

Kwahiyo hii Neema / Rehema uliyoonyeshwa, ielekeze na kwa wengine.

Hawajui walitendalo.

Badala ya kumnyooshea MUNGU kidole, wewe tubu ya kwako,

na kumuomba akuokoe kutoka kwenye hali ngumu / akuondoe kutoka kwa watesi wako.

Utauona mkono wa MUNGU.


"Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe, yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake au kuapa kwa kitu cha uongo.

Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana, na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake."

Psalm.24.4-5.NENO
I just discovered this:

"My suffering was good for me, for it taught me to pay attention to your decrees.

Your instructions are more valuable to me than millions in gold and silver."


psalms.119.71-72.NLT

I'm glad GOD led me to this realisation before I came across this verse.

GOD sent a man from 3000years ago to confirm my thoughts for me.

Or rather since GOD is outside of time, this truth has been available for eternity, but since were confined in time, we're individually discovering this depending on which pocket of time we happen to appear in.

:02Pat:
 
Back
Top Bottom