Sasa anatoa vitisho au anakutaarifu?
Kwani hii dunia ya nani?
Mwenye dunia yake kasema ambaye hataki kufuata sheria zake: kumpenda MUNGU mwenyewe na kupenda wenzio kama unavyojipenda ataondolewa.
Hiyo ni taarifa sio kitisho.
Pia lazima ulipe yote uliyofanya, sio unakuja duniani unakuta vitu vizuri vizuri, unaviharibu tu.
Unakuta binti za MUNGU kawaumba wamtumikie wewe unawageuza dampo la uchafu wako, halafu unataka uachwe burebure.
Unakuja duniani kuvurugavuruga tu na kutesa tu watu, Kukosesha haki za watu, kuonea watu, kuumiza watu.
UTALIPA. BY FIRE YOU WILL PAY.
Only that MUNGU wetu ni mwenye Rehema na ameshalipa kwa ajili yako ili uishi milele, kwa DAMU YA YESU utaishi.
Sijajua unataka msaada gani, usikute unataka mahela wakati kwenye Ufalme wa MUNGU hamna hela, mahela yote yatakuja kupigwa kiberiti, so wewe kuhisi hakusaidii ni kukosa hekima / akili.
MUNGU halazimishi mtu, huoni waovu wanavyopeta, ndo wanaongoza kufanikiwa humu duniani na MUNGU kawaacha!
We kama umeamua kumkataa haya, hao watu unaoona wana maana hawalingani kwa vyovyote kwa utukufu na yule aliyewaumba. Ni sawa na kuona robot ana akili kuliko bindamu aliyem program. Ukosefu wa hekima.