Dua za kuombea utiaji saini mkataba wa Bandari zina unafiki mkubwa

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,883
109,212
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.

Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.

Cha kushngaza, Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.

Kwa upande wa Askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "Dua" zake.

Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?

Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:


View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D
 
WHO KNOWS,LABDA WANAANDAA EPISODE YA PILI YA ILE MIWARAKA YAO UCHWARA,TULIWAAMBIA HIZO WARAKA WAKAFUNGIE KITI MOTO HAWAKUTAKA.
Hilo ni wazi kabisa, msukule wao Slaa kishalitangaza.


Ndugu yangu hawa maaskofu wameumizwa na bandar kuboreshwa mifumo yake.

EWao ndiyo wanufaika wa kwanza kwa mifumo mibovu pale bandarini, na zaidi wametumia joho la dini kufanya ufisadi mkubwa sana pale bandarini kwa miaka mingi sana.

Ushahidi wa kwanza, unaona sasa hivi vitu vya "promosheni" vilivyokuwa vinasambazwa nchi nzima kwa bei za kutupa?
 
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.

Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.

Cha kushngaza. Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.

Kwa upande wa askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "dua" zake.

Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?

Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:


View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D

Warabu mkishaiombe inatosha
 
Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?
Unataka kusemaje? Kwamba waliletwa pale kwa " ka-mguu kasikuunguze"?
 
Back
Top Bottom