Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,718
- 45,125
Kuna barua mtandaoni inatembea ya kampuni ya Multichoice (DStv) kuhusu kutokuonyesha matangazo ya michuano ya Afcon mwaka huu ambayo itafanyika huko Ivory Coast baada ya kukosa haki za matangazo.
Kwa upande wa pili, AzamTv wametangaza kuonyesha mubashara mechi zote za Afcon yaani mwanzo mwisho.
Kongole sana kwa Azam TV hakika soka la Afrika mnalitendea haki.
Kwa upande wa pili, AzamTv wametangaza kuonyesha mubashara mechi zote za Afcon yaani mwanzo mwisho.
Kongole sana kwa Azam TV hakika soka la Afrika mnalitendea haki.