Waziri Ndumbaro: Tutawasilisha ombi la kurusha matangazo ya Kiswahili kwa mechi zote zitakazochezwa katika Mashindano ya Kombe la AFCON

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
739
479
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kurusha matangazo ya mechi zitakazochezwa katika Mashindano ya Kombe la Mataifa Barani Afrika AFCON mwaka 2027 kwa Lugha ya Kiswahili.

Mhe. Ndumbaro amesema hayo Oktoba 16, 2023 alipofanya ziara Ofisi za Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), ambapo amepongeza juhudi za Baraza hilo katika kubidhaisha lugha hiyo Kimataifa pamoja na kuzalisha wakalimani na Watafsri mbalimbali.

 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kurusha matangazo ya mechi zitakazochezwa katika Mashindano ya Kombe la Mataifa Barani Afrika AFCON mwaka 2027 kwa Lugha ya Kiswahili.

Mhe. Ndumbaro amesema hayo Oktoba 16, 2023 alipofanya ziara Ofisi za Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), ambapo amepongeza juhudi za Baraza hilo katika kubidhaisha lugha hiyo Kimataifa pamoja na kuzalisha wakalimani na Watafsri mbalimbali.

Kiswahili ili iweje yaani haya mazombi akili zao vinyesi
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kurusha matangazo ya mechi zitakazochezwa katika Mashindano ya Kombe la Mataifa Barani Afrika AFCON mwaka 2027 kwa Lugha ya Kiswahili.

Mhe. Ndumbaro amesema hayo Oktoba 16, 2023 alipofanya ziara Ofisi za Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), ambapo amepongeza juhudi za Baraza hilo katika kubidhaisha lugha hiyo Kimataifa pamoja na kuzalisha wakalimani na Watafsri mbalimbali.

Haunogi....
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kurusha matangazo ya mechi zitakazochezwa katika Mashindano ya Kombe la Mataifa Barani Afrika AFCON mwaka 2027 kwa Lugha ya Kiswahili.

Mhe. Ndumbaro amesema hayo Oktoba 16, 2023 alipofanya ziara Ofisi za Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), ambapo amepongeza juhudi za Baraza hilo katika kubidhaisha lugha hiyo Kimataifa pamoja na kuzalisha wakalimani na Watafsri mbalimbali.

Dah, nimepata neno jipya la kiswahili, KUBIDHAISHA.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom