T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,560
- 34,587
Hiyo kukopesha watu wanafanya hapa chuo. Sasa nashangaa yeye kilichomfanya aache chuo ni nini. Kisa kukopesha tu?Ungeweza kusoma na hii biashara ya kukopesha ukaendelea nayo,au ulikula DISCO?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani niache chuo kisa nakopesha.