Wanaweka Dhamani Ganinmedrop nmejiajri nakopesha wanachuo wanalipa kwa riba ya 30% kwa mwezi
Hiyo riba mbona ni kubwa sana....una mamlaka gani ya kutoza riba kubwa namna hiyo..hata lending institutions na microfinance facilities hazina hiyo riba...kweli umeamua kuchuma pesa...chuma utakavyo mkuu kila lakherinmedrop nmejiajri nakopesha wanachuo wanalipa kwa riba ya 30% kwa mwezi
ni makubaliano japo unanitishaHiyo riba mbona ni kubwa sana....una mamlaka gani ya kutoza riba kubwa namna hiyo..hata lending institutions na microfinance facilities hazina hiyo riba...kweli umeamua kuchuma pesa...chuma utakavyo mkuu kila lakheri
ur right sio lazma kila mtu asome na kuwa na degree, tutazalsha taifa lenye kulaum serikal juu ya ajira maana wengi wanaosoma hawana plan B zaid ya kuajiriwaMafanikio yetu yanatokana na namna tunavyo fikiri, nawapongeza wote wanao amua kusonga mbele na kutumia vipaji na juhudi kufanya vizuri kimaisha.
umesajili microfinance yako au ndo unaibia wanafunzi na serikali?nmedrop nmejiajri nakopesha wanachuo wanalipa kwa riba ya 30% kwa mwezi
Unlawful agreement......ni makubaliano japo unanitisha
*MASIRAHI = MASLAHI.wasalamu... wale tulioacha chuo kwa hiari baada ya kugundua tunatakiwa kuunda system zetu za kutoka kimaisha na sio kufata mfumo usio na masirahi kwa speed hii ya maisha tujuane hapa .
binafs nmedropout Udom mwakajana mwez wa 12 ....
View attachment 1236058
Kiwango cha chini cha kukopa ni sh ngapi na cha juu ni sh ngapinmedrop nmejiajri nakopesha wanachuo wanalipa kwa riba ya 30% kwa mwezi
mimi mwenyewe nilidrop mwaka jana baada ya kujikuta nimemaliza boom ndani ya mwez mmoja huku nikiwa na supp 3