Droupouts wa vyuo tukutane hapa

Droupouts wa vyuo tukutane hapa

Naweza kuacha ajira na kwenda kuendelea na biashara endapo nitatengeneza kipato cha minimum 2M kwa mwezi nje na ajira na sikipato tu bali kinachotokana na biashara inayoeleweka (sustainable) unaiwezo wakufanyika bila uwepo wangu, uwamuzi wa kuDrop chuo kisa Mgahawa then ndio startup ni bad plan.

Portfolio | 2020
Una plan/mindset nzuri sana lakin inaonesha huna elimu ya maisha nje ya ajira, unaweka vitu in easy regularity kuwa "kama ntatengeneza milion2"
Hiyo iache huko huko mshaharan, huku expext a 2 to 3 down then forever up.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am bringing back to the community wewe endelea kuwatoza wagonjwa..( mimi nasaidia wazima wasio wagonjwa, wewe unatoza ela wagonjwa).


Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yako uliyoichagua ndio inatoza wagonjwa ... mimi nafanya kazi niliyosomea na mwisho wa siku napata kinachostahili kulingana na kazi niliyoifanya..
Sasa wewe unayetoza riba ya 30% unapata wapi hata hio moral authority ya kumquestion mtu mwingine kuhusu pesa😂😂..
 
Am bringing back to the community wewe endelea kuwatoza wagonjwa..( mimi nasaidia wazima wasio wagonjwa, wewe unatoza ela wagonjwa).


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kazi kama hiyo yako utakuta mtu anakunywaga pombe tu alaf ni daktar kumbe ni hela alizotoza wagonjwa, nooves in self economy kwakuwa hela umeiba tena umeiba kwa asiejiweza) ...msomi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisome kwa ajili gani? Yaani nifanye kitu ambacho nmegundua hakina tija ili wewe uridhike??

Karibu mkopo sasa riba imepungua hadi 20%/month>> pia unaweza kopa adi million 10 kama una vigezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kwa nyie mnaopenda vitu used vinauzwa pia Kama TV,monitor, simu na vitu vingine vya majumbani, unanunua kwa cash na kwa mkopo,
Hivyo ndo saizi yenu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yako uliyoichagua ndio inatoza wagonjwa ... mimi nafanya kazi niliyosomea na mwisho wa siku napata kinachostahili kulingana na kazi niliyoifanya..
Sasa wewe unayetoza riba ya 30% unapata wapi hata hio moral authority ya kumquestion mtu mwingine kuhusu pesa..
Tunawajua sana nyie madaktari, acha ninyamaze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama haujasoma utateseka sana kimwili kama wewe ambavyo unatembea jua kali na daftar la unao wadai..

Ilitakiwa utengeneze hoja nzuri zenye mashiko ili watu waone umuhimu wa kuacha chuo.

#wote tunajua PESA ni muhimu zaidi ya VYETI ila kama unakitu cha kufanya tena chenye uhakika.

Sasa wewe na daktar unataka useme mtakuwa sawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi ulisoma nao na hawana mbele wala nyuma? Kwanin mna defend sana kuliko kustick kwenye point. Mnaona wanaofight nje ya system kama maadui zenu kumbe ni ndugu zenu tutawashika mikono mkifulia.

Kufanikiwa au kutokufanikiwa haijalishi una cheti au hauna. Ila naona wengi wenu mnaonesha kama kusoma ndo kutoboa maisha hivi, naona umeme umezima huko ubongoni kwenu, tuwawashie solar.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi ulielewa hata nilichoandika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naweza kuacha ajira na kwenda kuendelea na biashara endapo nitatengeneza kipato cha minimum 2M kwa mwezi nje na ajira na sikipato tu bali kinachotokana na biashara inayoeleweka (sustainable) unaiwezo wakufanyika bila uwepo wangu, uwamuzi wa kuDrop chuo kisa Mgahawa then ndio startup ni bad plan.

Portfolio | 2020

Yes! Nadhani watakuwa walikosea step wakati wa biashara zao kwa maana kama idea walikuwa nazo vizuri tu .
Kwa ninavyoamini hata pale unaposhindwa kuifanya elimu yako kuwa biashara ikusaidie wewe na watu wanaokuzunguka pia unakuwa hakuna la maana ulilofanya.
Jambo la muhimu ni kuwa na maisha yenye mabadiliko chanya kwako na watu wengine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi ujaelewa tofauti yake na yako, yeye kaacha na kaenda kuichangamkia fursa na ana uwanja mpana wa kufanikiwa katika hilo ILA wewe ulivyoacha hukuenda kufanya cha maana ndio maana nikakuuliza ukienda kweli kuHuatle na fursa kama uliacha japo sio kwakupenda na mtaani hukuwa serious na fursa lazima uswme eti mtaani hatari.
Sure! Sijaacha kwa kujitakia Ila ni mambo ya fedha ndio yalizingua.
Sasa nashangaa mtu anayeacha chuo kwa hiari kisa eti mtaani kuna fursa.. loh! Kitaa ni hatari

Portfolio | 2020
 
Tuelewane..Uzi huu sio mashindano wala sehemu ya majungu kati ya Sisi wenye self/informal education na nyie wenye vyeti ..

Lets understand that.. Uzi huu ni mahususi kwa walioacha vyuo kwa makusudi ili kustick na shughuli za kwao wenyewe.

Kama wewe una ajira unaweza sema mazuri na magumu ya huko na sisi tukasema mazuri na magumu ya huku.

Uzi huu Sio sehemu ya kila mmmoja kumuona mwenziwe punguwani

Lets Go!!

Ntashusha mazuri na ntakazia zaidi magumu ya upande huu ila kama uko lelemama au unapenda slope usijaribu wala kufikiria kuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom