Mimi ni Muislam, nakwambia Hiyo ni porojo ya uongo na uzushi, umejitungia tu.Aisha was six years old when she married the Prophet Muhammad, who was 53 at the time. Aisha was the daughter of Abu-Bakr.
Sasa unabisha nini Bibie?! Wewe wakati ulikuwa na umri wa miaka 6 ulikuwa na Hedhi?!
Kwanini nizushe? Ipo Qur'an. Hii hapa: Qur'ani TukufuHebu wewe leta Hadithi yako?! Na sources zake.
Imeandikwa Kiarabu mimi ntajua wapi?! Tafadhali hebu inukuu hiyo sehemu inayoongelea umri wa Aisha alipoolewa.Kwanini nizushe? Ipo Qur'an. Hii hapa: Qur'ani Tukufu
Ifate tu usiogope, ina tafsiri ya Kiswahili, au hujuwi Kiswahili?Imeandikwa Kiarabu mimi ntajua wapi?!
Chief, we endelea kumwekea mipaka Mungu utadhani kuna jambo hawezi kufanyaUmeenda kumuabudu mungu aliezaliwa na binadamu kama wewe, akanyonya, akatahiriwa, na mwisho akasulubiwa hongera sana.
Tusamehe= yanafikirisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.
Usifananishe watu wa mashariki ya kati,wanaokula nyama na maziwa,na mtoto wako anayekula ugali na chumvi.Mpeleke hospital mwanao,ana matatizo ya afya.Miaka 6 anaona hedhi mm niko na biti yangu Ana miaka 11 na hata haingii hedhi wewe Acha zako
Si nimeshakujibu uongo na uzushi wako tu huo?Nitafute ya nini wakati wewe ndio kitabu chako iweke hapa kwa faida ya wasomaji wa JF.
Alichoongea ndo ukweli mtupu japo ni mchungu kwa wafia dini. Uislam umelenga kupandikiza tamaduni za kiarabu kwa wafuasi wake na si zaidi ya hapo! Itafika wakati waafrika wengi watarudi kwenye dini zao za asili walizozikataa awali.
Usifananishe watu wa mashariki ya kati wanaokula nyama na maziwa,na watu wa afrika,wanaokula ugali na chumvi.Wale wa mashariki ya kati wana afya,manake Yesu,aliolewa na Yoseph(MIAKA 90),MAMA WA Yesu akiwa na miaka 13.Aisha was six years old when she married the Prophet Muhammad, who was 53 at the time. Aisha was the daughter of Abu-Bakr.
Sasa unabisha nini Bibie?! Wewe wakati ulikuwa na umri wa miaka 6 ulikuwa na Hedhi?!
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Ujumbe umefika.Wapo.waarabu wakristo nacwapo wasio na dini,angalia wapo kama waarabu waislamu?Uislamu ni mbali,na ukristo ni.mbali.Andika vizuri mkuu
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Niliwaza angejiunga na ukristu, amefanya vyema kujiunga na dini za asili, dini ya asili ndiyo inayomfikisha mtu kwa Mungu wa kweli.
Sio kweli,hata hao waarabu pia wana dini za asili.Uislamu uko.tofauti na dini za asili.za waarabu.Dini za asili,ndio zilizoleta utumwa.duniani,na pia akifa kiongozi,anazikwa na watu watatu,,walio hai,na elimu pia haipewi.kipa umbele.Niliwaza angejiunga na ukristu, amefanya vyema kujiunga na dini za asili, dini ya asili ndiyo inayomfikisha mtu kwa Mungu wa kweli.
Acha makasiriko. Jikite kwenye mada= yanafikirisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.