Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Tatizo la Slaa ni kwamba akipewa Mbowe ndiye atakuwa anaongoza nchi. Joyce Mukya as first lady? Maybe not
 
Naomba wa kuu tufanye zoezi hili mhimu ili tujue mwenye mwelekeo wa Ushindi.utaratibu andika neno LOWASA au SLAA kuonyesha yupi ange faa kuwa Rais wetu waJMT.Mwishoni wakuu baada ya siku kadhaa nita toa majumuisho nani amepata kura ngapi na hivyo kuonyesha kuungwa mkono
 

Hawa watu kuwashindanisha haiwezekani, kati yao ni sawa na Mbingu na Ardhi kama ulivyosema. Sasa CCM watamsimamisha nani? maana Lowassa ndo analipalipa kwa upande wao.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…