Kwa akili ya kawaida sana huwezi kamwe kumfananisha Lowasa na Slaa. Slaa ni kiongozi kwa kuzaliwa na uongozi anaujua vilivyo na Lowasa ni mzuri akiwa chini ya mtu na si kusimama peke yake. Tumpe nchi Slaa ili atusaidie na arudishe heshima ya Taifa iliyopotea tayari...!!!! Viva Slaa, Viva ukawa; Viva CDM....!!!!!!