Samahan km hili neno litatoa tafsiri tofauti kwenu ila ni waz kwamba tunahitaji kiongozi mchapa kazi, jasiri na mwenye kuchukua maamuzi magumu NA YAKAWA MAAMUZI MAGUMU KWELIKWELI. Kwa hali ya nchi hii kwa sasa ni.wazi kwamba rais ajaye atakuwa na KAZI NZITO mno ya kurekebisha na kusafisha uchafu wote na kuponya vidonda vyote vya watanzania vilivyoachwa na serikali inayomaliza muda wake. Tunatakiwa kuwa makini katika kuchagua wa kumsulubu na kumtwisha mzigo huu mzito. Katika polls mbalimbali zinazoendelea zimeonesha kwamba Edward Lowassa anaongoza kwa upande wa Chama tawala na Willbroad Slaa kwa upande wa Upinzani. Je kati ya hao YUPI ANA NGUVU ZAIDI YA KUUBEBA MZIGO HUU??