kura yangu haiwezi kwenda tena kwa Slaa,nasubiri mgombea atakayekuja kwa sera nzuri ndio atapata kura yangu...wala siwezi kutoa kura kwa mazoea kama upuuzi huu unavyotaka tufanye.Haya mambo ya uraisi muda wake bado,kwanini msituletee mambo ya msingi kuliko kila siku haya mambo yasiyo kichwa wala miguu
Khaa!! Huyu mbona alikuwa ndiye rais kupitia JF mwaka 2010! Kwani kipindi chake kimekwisha?? :shock:.Dr.Slaa
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.
Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.
NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.
Wakuu,ukienda hata kwenye ukurasa wa facebook kuhusu hii poll,utagundua tofauti baina ya hawa watu wawili ni sawa na mbingu na ardhi!
Hii poll hapa JF ni kioo tosha cha kuongoza vyama hivi wakati wa uteuzi utakapofika.
------------------------------------------------------------------
*Kwa maoni zaidi ya washiriki wa JamiiForums kupitia ukurasa wa Facebook - Dr. Wilbrod Slaa Vs Edward Lowassa (JamiiForums facebook page)
![]()
Khaa!! Anapotosha umma wapi bana?? Anajaribu kukufungulia madirisha ili uone mwanga zaidi :loco:Tatizo lako ndugu unajiona una uwezo mkubwa sana kuliko mtu yeyote hapa Tanzania na hata ukitazama post yako inaonyesha kuwa ni mjivuni. Suala la Urais ni jambo la msingi sana,usipotoshe umma,
kichekesho TWAWEZA. Mbona hawakufika ZNZ? au ile kura yao ilkuwa ni mgombea wa TANGANYIKA?Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.
Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.
NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.
Wakuu,ukienda hata kwenye ukurasa wa facebook kuhusu hii poll,utagundua tofauti baina ya hawa watu wawili ni sawa na mbingu na ardhi!
Hii poll hapa JF ni kioo tosha cha kuongoza vyama hivi wakati wa uteuzi utakapofika.
------------------------------------------------------------------
*Kwa maoni zaidi ya washiriki wa JamiiForums kupitia ukurasa wa Facebook - Dr. Wilbrod Slaa Vs Edward Lowassa (JamiiForums facebook page)
![]()