Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Wote wawili hawafai. Urais wa nchi ni zaidi ya kuwa mahiri kuikosoa serikali na ni zaidi ya kuwalaghai watanzania maskini wa fikra kuwa unawependa na utawasaidia ukiwa mkuu wa nchi wakati tayari unanuka ufisidi wa kutisha na tayari watu wanalipia gharama kubwa huduma za msingi kama umeme na usafirishaji kutokana na mkono wako katika mikataba ya kina Karl Peters.

Tuache kushabikia majina ya watu kutokana na umaarufu wao. Tuangalie nchi hii ilipofikia inahitaji kiongozi mkuu mwenye mtazamo gani juu ya mahitaji ya msingi ya mwananchi wa kawaida. Lowassa na Slaa sioni kiongozi hapo!
 
Wote wawili hawafai. Urais wa nchi ni zaidi ya kuwa mahiri kuikosoa serikali na ni zaidi ya kuwalaghai watanzania maskini wa fikra kuwa unawependa na utawasaidia ukiwa mkuu wa nchi wakati tayari unanuka ufisidi wa kutisha na tayari watu wanalipia gharama kubwa huduma za msingi kama umeme na usafirishaji kutokana na mkono wako katika mikataba ya kina Karl Peters.

Tuache kushabikia majina ya watu kutokana na umaarufu wao. Tuangalie nchi hii ilipofikia inahitaji kiongozi mkuu mwenye mtazamo gani juu ya mahitaji ya msingi ya mwananchi wa kawaida. Lowassa na Slaa sioni kiongozi hapo!

Werema tukuamini vipi kuwa mtazamo wako ni sahihi wakati tumethibitisha kwa majibu na hoja zako bungeni kuwa una mgogoro mkubwa sana wa mtazamo.
 
Wote wawili hawafai. Urais wa nchi ni zaidi ya kuwa mahiri kuikosoa serikali na ni zaidi ya kuwalaghai watanzania maskini wa fikra kuwa unawependa na utawasaidia ukiwa mkuu wa nchi wakati tayari unanuka ufisidi wa kutisha na tayari watu wanalipia gharama kubwa huduma za msingi kama umeme na usafirishaji kutokana na mkono wako katika mikataba ya kina Karl Peters.

Tuache kushabikia majina ya watu kutokana na umaarufu wao. Tuangalie nchi hii ilipofikia inahitaji kiongozi mkuu mwenye mtazamo gani juu ya mahitaji ya msingi ya mwananchi wa kawaida. Lowassa na Slaa sioni kiongozi hapo!

Sawa mkuu
Tupe mbadala wao basi
 
uzuri wake ni kwamba mimi sio bendera fuata upepo kama wewe ndugu yangu,labda nikuulize,hivi hayo sijui kura inakusadia nini wewe binafsi na Taifa lako?

Mpaka umri huu hujui faida ya kura!!!
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Wakuu,ukienda hata kwenye ukurasa wa facebook kuhusu hii poll,utagundua tofauti baina ya hawa watu wawili ni sawa na mbingu na ardhi!

Hii poll hapa JF ni kioo tosha cha kuongoza vyama hivi wakati wa uteuzi utakapofika.

------------------------------------------------------------------

*Kwa maoni zaidi ya washiriki wa JamiiForums kupitia ukurasa wa Facebook - Dr. Wilbrod Slaa Vs Edward Lowassa (JamiiForums facebook page)
attachment.php

DR. Slaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom