Mod, tukimaliza hii pool na huyu fisadi papa, naomba mtuwekee tena Dr. Slaa na mgombea mwingine prospect wa magamba ili tuwasadie kupata mgombea anayewafaa. Ikiwezekana muanze na huyu kijana Marope ajionee mwenyewe kama harakati zake zimeleta matunda so far!