Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
JF si ya kupiga kura watu wana if 300...ushuz tuuu
 

lowassa
 
Hii kitu siamini hata kidogo kuna watu wanatumezesha sumu ili tukubali matwakwa yao kama uamini siamini 100 mambo yanaodeal na technology.
 
Duu! nasikitika sijampigia kura Dr wa Ukweh sababu natumia mchina leo!

nenda pale juu kabisa pameandikwa TOUCH bofya hapo, kisha shuka chini kabisa pameandikwa FULL SITE, pabofye hapo na utakuwa tayari kupiga kura yako kwa kwenda kwenye poll moja kwa moja.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…