THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,747
- 15,081
Mimi na Familia yangu tunamuunga mkono Dr Slaa.
Kuwa makini na mkeo mkuu.
Utamwagwa chozi na huyu padre.
Sio muungwana huyo slaa.
Anapenda sana yale mambo yetu yale.
Mimi na Familia yangu tunamuunga mkono Dr Slaa.
Izo siasa nzito nzito za uyo slaa ziko wapi, za kufukuzana uanachama au kupiga makelele yaleyale tu majukwaani kila siku mnaongelea epa ambayo kesi ziko mahakamani.
ni kweli madhara ya kupoka mamlaka ya wananchi ndiyo haya!!, Kwa hili la katiba Rais ndiye Refalii wa mchezo, sasa anapotaka na yeye kuanza kucheza inakuwa vurugu mechi!!
UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais, serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.
Sema wewe kaka nikisema mim wanasema nimetumwa watu wanashindwa kutofautisha kati ya kupiga kelele na kutumikia wananchi dr slaa ni bingwa wa kukoroma tu huo uadilifu hana hata kidogo anaiba wake za watu hafai kuwa rais
Tukumbuke hata 2010 dr. Slaa hakupenda kugombea urais bali alipendekezwa na chama chake!kiongozi yeyote makini na anayefaa hupendekezwa na watu wenyewe..na si kukimbilia madaraka.hongera dr..maoni yangu ni kuwa bado ungetufaa sana 2015 kama uzima utakuwepo.Mungu akulinde wakati wote!
Mkuu, hivi umemuelewa Weston Songoro? Kama mpo kwenye umoja maana yake ni kwamba upande mmoja hauwezi kujipangia mgombea urais. Lazima pawe na makubaliano ya pamoja
Babu kachoka
Mkuu...Relax..taratibu mkuu...usiwe na presha sana...kwani nani kasema siasa uadui mkuu?
Kikwete aliiba kura za urais na ubunge? Mbona mliambulia wabunge 23 tu? hata Slaa angeshinda urais angewezaje ku-survive na wabunge 23? Uongo mwingine hata haufanani na ukweli.
we communist nae bhana. Unaumiza kichwa kwa ajili ya ritz?????????? Hebu mwambie yeye akanushe wizi wa mjomba na dingi kama atakanushauungwana ni vitendo, hata mwanzo hakutaka allitikia mwito wa chama chake. Ritz hebu kua kidogo.
Dr slaa yule mzinzi anayeishi na hawara aliyekuwa mke wa mahimbo akampora?Dr.Slaa ndiyo tamplate ya uongozi bora na uwajibikaji.Tazama vijana wanaotumia hii tamplate walivyo,kina Mnyika,Lisu,Makene,Ben,Yericko nk.Linganisha na Zito