Amechoka sana angalia ngozi ilivyochujuka duuh uzee wote huo kwanini asitulie?
Utamfananisha na yule mwenye nywele nyeupe mwenye kiharusi? Nasikia hajiwezi siku hizi hadi ananyea kwenye POT.
Amechoka sana angalia ngozi ilivyochujuka duuh uzee wote huo kwanini asitulie?
Vip Wasira ambaye ni kiongozi ndani ya CCM ana ngozi nyororo kama ya wale jamaa wa msitu wa kule kigoma humuoni?Amechoka sana angalia ngozi ilivyochujuka duuh uzee wote huo kwanini asitulie?
Vip Wasira ambaye ni kiongozi ndani ya CCM ana ngozi nyororo kama ya wale jamaa wa msitu wa kule kigoma humuoni?
Utamfananisha na yule mwenye nywele nyeupe mwenye kiharusi? Nasikia hajiwezi siku hizi hadi ananyea kwenye POT.
Cheki aina ya viongozi wenuHuyo ameshadhoofu bado anashughulika na mambo ya wachumba....
Too sad!!!
Mkuu Ritz, hebu nipe darsa kuhusu uhusiano wa iliyokuwa TANU ya wazee wa Tambaza na CCM ya akina Nape.
![]()
Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa
DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu kitafanywa kwa wakati muafaka,kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi 2015.
Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk. Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi, niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim Lipumba na James Mbatia.
UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais,serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.
Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."
Chanzo:Mtanzania Juni 11-2014
My take😀r slaa ni kiongozi mtiifu
![]()
Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa
DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu kitafanywa kwa wakati muafaka,kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi 2015.
Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk. Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi, niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim Lipumba na James Mbatia.
UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais,serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.
Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."
Chanzo:Mtanzania Juni 11-2014
My take😀r slaa ni kiongozi mtiifu
Kiongozi wa watu huwa na maoni ya mbali,
Dr Slaa ni mfano wa kuigwa Tanzania, nitapigania kwa uwezo wangu wote kuhakikisha taifa lipate kiongozi kama yeye!
Cheki aina ya viongozi wenu
View attachment 164393
Cheki aina ya viongozi wenu
View attachment 164393
Hata akigombea atapoteza muda wake bure watanzania wameisha wajua Chadema ni matapeli wa kisiasa.
Huyu mzee akikaa pembeni ndio mtakuja kutambua kisawasawa thamani yake.......wengine tunaojua potential yake ktk siasa za nchi hii daima tunamheshimu kwa muda wake kusimamia ukweli bila woga kwa kujali wanyonge.....
![]()
Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa
DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu kitafanywa kwa wakati muafaka,kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi 2015.
Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk. Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi, niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim Lipumba na James Mbatia.
UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais,serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.
Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."
Chanzo:Mtanzania Juni 11-2014
My take😀r slaa ni kiongozi mtiifu
Mshaurini atafute jiko kwanza.