Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Magamba acheni kuweweseka dr slaa ni kiboko yenu ndiye anaye sababisha mnasomba watu na malori kwenye mikutano yenu
Unazungumzia dr slaa huyu anayejikopesha ruzuku ya chama anaenda kujenga nyumba yake kule bunju halafu akiulizwa anaishia kufukuza watu kazi?
 
Bila Dr.Slaa, siasa za Tanzania zingekuwaje?. Dr.slaa amethubutu kuwangalia watu machoni na kuwambia uchafu wao. Nani anaweza kazi hiyo?
Mbona yeye hajiamgalii? Kwanini amepora mke wa mahimbo?
 
Katika tafakuri yangu ya siku. nimejikuta na jina la Dr.Slaa pekee kama mmoja wa mpenda haki na kiongozi asiyeyumba nchini Tanzania. Hii ni kwa mjibu wa kuchunguza viongozi wa vyama vyote vya siasa. Dr.Slaa anafuatiwa na Jiji Warioba ambaye kwa uzalendo uliotukuka ameandika pamoja na tume yake, rasmu ya katiba mpya kwa kuweka mbele masrahi ya taifa la leo, kesho na kesho kutwa huku chama chake kikitaka kuandika katiba ya leo, jana na juzi.

Dr.Slaa next president for 2015/2020.
Rais wa wazinzi
 
Hao uliowataja wameshachuja kisiasa.
Dr slaa aendelee kuimarisha chama chake huko mitaani.
Warioba alipewa kazi akadharau hadidu za rejea alizopewa mwisho ameleta mkanganyiko mkubwa kama hivi.
Huu uzi uko chini sana.
kama unaelewa ulicho andika, adidu za rejea zilitolewa na nani?, wakati tulikuwa tuna taka katiba mpya ya wananchi na si watawala! ukipata adidu za rejea kutoka kwa watawal hiyo ni katiab yao watawala. Tatizo sisi watanzania wengi mawazo yetu yamejifinya sana
 
Tambua Ni Padre! Kama Unatambua Vema Kikanisa Ukisha Padre Umejifungia Sakramenti Ya Ndoa Huna Tena! Mpaka Leo Sijui Nin Kilimfanya Asimimishwe Upadre Namashaka Alikuwa Anagoma Goma Sana Kuongozi Misa Maana Ndyo Slogani Yake Wazo Lake Lisipokubaliwa Tu Tuandamane! Zaidi Kitendo Cha Kudai Kama Ingelipwaje Kama Akikosa Urais 2010 Wakati Alipoombwa Agombee Kimweka Kando Kabsa Kiuzalendo! Kamwe Hawezi Kuwa Rais Labda Mnyika Miaka Ijayo! Zitto Angeweza Bt Rangi Yake Imepakwa Masizi
 
Interahamwe wamevamia Uzi huu baadayakuona jina lakiongozi mzalendo makini Dr Slaa,inaonyesha jinsi alivyo mwiba kwao.Vijana tuendelee kumuunga mkono Dr waukweli atuvushe kwenye tope hili
 
Arudishe kwanza mke wa mtu aliyempora. Pia aungame na kumrejea Mungu na mwisho arejee kazi yake ya Upadri ambayo ilikuwa inamkurubisha kwa Mungu
..kurudisha mke wa mtu itamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyepo singida vijijini, au kule mbambabay liuli?
 
Unazungumzia dr slaa huyu anayejikopesha ruzuku ya chama anaenda kujenga nyumba yake kule bunju halafu akiulizwa anaishia kufukuza watu kazi?
afadhali huyu anajikopesha, kuliko hawa mafisadi waliopo ccm wanachukua jumla bila riba wala nini, na leo eti wanataka kugombea urais, watanzania hatuwezi kukubali kuruhusu manyang'au yaendelee kupanga pale magogoni kamwe!
 
kama unaelewa ulicho andika, adidu za rejea zilitolewa na nani?, wakati tulikuwa tuna taka katiba mpya ya wananchi na si watawala! ukipata adidu za rejea kutoka kwa watawal hiyo ni katiab yao watawala. Tatizo sisi watanzania wengi mawazo yetu yamejifinya sana
naunga mkono watanzania wengi elimu za uraia ni zero, hasa vijijini!
 
Hivi kuwa Rais ni lazima uwe na jiko? Ni matakwa ya Katiba au umeongea tu kwa kuwa jina lako linakuruhusu kutamka chochote? Ibara ya 39 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977 inataja sifa za mtanzania anastahili kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT, hakuna popote panataja lazima uwe na jiko. James Buchanan alikuwa Rais wa Marekani asiekuwa na mke.... Rais Cleveland alioa baada ya kuingia Ikulu ya Marekani..... Thomas Jefferson, Andrew Jackson, Martin Van Buren na Chester Arthur kwa vipindi fulani wamekaa Ikulu bila kuwa na Wake. Ikiwa Marekani hawana tatizo na hilo inashindikana vipi kwa Tanzania ambayo Katiba yetu haitoi sharti hilo! Ian Khama amekuwa Rais wa Botswana akiwa Single. Ukiacha Mwalimu Nyerere, hao viongozi wengine waliokaa Ikulu, wake zao waliwasaidia nini Watanzania zaidi ya kuwa wafanyabiashara na pengine wakwepa kodi? Kwako kiongozi Bora ni aliye na Mke? Hata hivyo jina Msalani linakuruhusu kutamka utakavyo.

na bado, full mziki wa chadema unakuja
 
Tunaelekea kufanya uchaguzi ndani siku 400 hivi,watz lazima wajue sasa ni aina gani ya serikali waitakayo,ni aina gani wa kiongozi anayetufaa pia sera zipi zinatufaa.Mwaka 2010 Dr.Slaa alipofika kijijini kwetu na kumsikiliza hakuna kitu nilichofurahia kama kuondoa kodi ktk vifaa vya ujenzi pia kuondoa ada ktk elimu ya msingi na secondary pia kuaza mchakato wa katiba mpya ndani ya siku 100 alisema.Nilifanya uamuzi wa kumpigia kura mara baada ya kumaliza hotuba yake.Rais Kikwete naye alifika na yeye pamoja na timu yake walikandia kila kitu alichosema DR. pale.Sasa muda umepita na yale yale ambayo DR alisema ndiyo naona wanafanya kwa zima moto maana hawakujiandaa.Mfano safi kabisa ni kuandika katiba,mambo hovyo kabisa.Sheria hazifuatwi tena na sisi wananchi tumepotezwa maana haujui majukumu ya vyombo husika katika mchakato huu.Mimi ninaye wa kumwajibisha ni Rais Kikwete.Tume kuwachangua kiongozi kutoka kundi hilo.:flame:
 
Back
Top Bottom