Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Sifa ya uadilifu inapimwaje kwa mtu ambaye hajakabidhiwa mamlaka yoyote kuiongoza?
Haihitaji mizani kujua uadilifu wa prospective Presidaa wa nchi hii Dr. Slaa
Sifa ya uadilifu inapimwaje kwa mtu ambaye hajakabidhiwa mamlaka yoyote kuiongoza?
Kwani si kuna makubaliano kuwa UKAWA mtasimamisha mgombea urais mmoja? Iweje sasa mumpigie chapuo Dr Slaa?
Mkuu, hivi umemuelewa Weston Songoro? Kama mpo kwenye umoja maana yake ni kwamba upande mmoja hauwezi kujipangia mgombea urais. Lazima pawe na makubaliano ya pamoja
Kwani si kuna makubaliano kuwa UKAWA mtasimamisha mgombea urais mmoja? Iweje sasa mumpigie chapuo Dr Slaa?
Duuu, kweli wewe una akili ndogo kiasi kwamba hata kwenye kisude haijai....uongozi upi unaotaka Dr Slaa akabidhiwe...Sifa ya uadilifu inapimwaje kwa mtu ambaye hajakabidhiwa mamlaka yoyote kuiongoza?
Duuu, kweli wewe una akili ndogo kiasi kwamba hata kwenye kisude haijai....uongozi upi unaotaka Dr Slaa akabidhiwe...
katibu mkuu wa chadema dr wilbroad slaa amewatimulia vumbi watu wote wanaotajwa kugombea urais mwaka 2015
katika maoni ya wananchi katika kipindi maalum kilichorushwa na radio highlands fm kuhusu nani anafaa kuwa rais mwakani idadi kubwa ya wananchi waliohojiwa walimtaja dr slaa kama mtu aliyekidhi vigezo vyote.
Katika watu 32 waliozungumza moja kwa moja watu 19 walimtaja dr slaa kama mtu anayefaa huku edward lowassa akifuatia kwa mbali kwa kutajwa na watu 7 wengine waliotajwa ni bernard membe,samwel sitta na harrison mwakyembe.
moja ya sifa alizopewa dr slaa na waliomtaja ni uadilifu na ujasiri wa kufichua maovu bila kumuogopa mtu.
Dr slaa ambaye kwa sasa ndiye mwanasiasa maarufu zaidi nchini hajawahi kutamka kama atagombea urais mwakani ingawa kuna shinikizo kubwa ndani na nje ya chama chake kumtaka afanye hivyo.
Sifa ya uadilifu inapimwaje kwa mtu ambaye hajakabidhiwa mamlaka yoyote kuiongoza?
Kwani rais lazima umpende wewe!?, hata hivyo hatutegemei aungwe mkono na majangili na watoto wao....I personally don't like him.Its a joke Slaa to be a President maybe local government
Hata kama akigombea hata pata.
Sifa ya uadilifu inapimwaje kwa mtu ambaye hajakabidhiwa mamlaka yoyote kuiongoza?
Hawezi shinda akagombee ubunge Kama mrema maana biashara ya jumla ni ya ccm tuu ukawa waende kwenye reja reja
Ulitaka akabidhiwe mamlaka gani zaidi ya hayo aliyokua nayo wacha kuka kilumumba nakuongea utumbo
Dr Slaa hafai.
Kaahindwa kutunza familia yake ikulu ataiwezea wapi atatuletea laana.
Pale kwenye Ukawa ni bora Lipumba au Mbatia.
Slaa ajifunze kuongoza familia kwanza.
Zaidi ya laana tuliyoletewa na mzee wa kubinuka hovyo...
Hata hivyo siyo yeye anayeamua kugombea,bali ni watu
wanampendekeza,huyu Dk ana akili za kuzaliwa,wengine
hawaoni hizi akili kubwa,wamebaki kwenye akili ndogo.
Tanzania hatutaendelea kama tutaendelea na siasa za aina
hii nyepesi nyepesi watu wanachukua mali sisi tunabaki
kuwatetea.hii ajabu kabisa ya Dunia.