Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
Just thinking LOUD!!!!! Equal opportunities for all!!! Wama .Does these two undergo auditing!!!!!!!!
 
Nadhani viongozi wa CDM inafaa waanze kujibu hija za verified user tu. Hawa jamaa wanojificha sio vizuri . Huwezi jua yawezekana ni mtu uliyenaye karibu anayejua mambao mengi ya siri, au ni avatat itumiwayo na group flani.USHAURI TU.
 
ATAKAYENIBISHIA NA ANIBISHIE LAKINI UKWELI NDIO HUU: Mtindio wa ubongo haujamuacha Ritz na Lizaboni empty kabisa. Nafikiri ipo sehemu ya ubongo wao ambao haijaathirika kabisa and we should admit that the guys are making good use of the portion.

Serikali ya CCM imetufikisha mahali ambapo ukitaka huduma ya kijamii lazima uandamane au UWE UNAFAHAMIANA NA MTU WA NDANI. Katika hali hii, imejengeka tabia ya kupenda kujipendekeza au kuonesha misimamo mizito hata kabla hatujaombwa rushwa.

Mimi ushauri wangu kwako Mkuu Ritz, haihitaji kufahamiana na Dr.Slaa ndio utibiwe CCBRT. Ulemavu wa akili si tatizo ambalo umejitakia, wewe ni victim tu wa mambo kadhaa yaliyojitokeza kwenye makuzi yako ya awali. Huna haja ya kutumia mbinu mbinu nyiiingi kudhihirisha mtindio. You just walk in to CCBRT reception na uanze kubwabwaja huu utumbo ulioandika hapa JF, believe me, in fraction of seconds utakuwa admitted 'duty free'.

Dr.Slaa ameuliza kama kuna kodi inachajiwa kwenye vifaa vya hospitali, hapo hukutoa jibu, ukarukia mambo mengine kudhihirisha kuwa una matatizo ya akili. Swali hilo hilo ameliuliza Pasco, hukuweka majibu ukabakia tu kama viongozi wa chama chako ambao wanaamini zaidi ktk kunung'unika kuliko kuchukua hatua.

Dr.Slaa amepoteza muda mwingi kukuelewesha mambo ambayo hayaendani na uwezo wako wa kufikiri, badala yake alipaswa tu kukwambia 'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'

Jina lako linadhihirisha kuwa umetoka pabaya kweli. Polse wana kwa kutetea majanga
 
Wakuu! Mleta uzi huu kwanza hajasema chanzo cha habari yake, pili nijuavyo mimi miongoni mwa vitu visivyolipiwa kodi ni pamoja na hospitali na shule; hivyo hata kama kungekuwa na suala hilo la ujenzi wa hospitali tusingeweza kujadili suala la ukwepaji kodi kwa kuwa hospotali hazilipiwi kodi, tatu anaesema kuna ukwepaji kodi ni nani? na mwisho uzi huu umelenga uchochezi wa kidini na kuwachafua watu wa dini fulani kwa sababu maalum. Ritz alete ushahidi wa mambo anayosema hapa asipoleta; tutatafsiri kuwa huu ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta uchochezi wa kidini na bila shaka mods watamuhudumia ipasavyo.

And to me this is the so called super summary....Tatizo hakuna anayejibu wapo busy kuanzisha thread nyingine ndani ya hii... Amakweli leo mmeumbuka.

 
Mkuu Lizaboni,

Nashukuru sana kwa kudadavua hizi bayana.

Dr. Slaa kashindwa kukataa kama wana uwanja Mlalakuwa ambao wanataka kujengea hospitali na Wajapani yeye na Josephine.

Mkuu Ritz, hakika wewe umekuwa shujaa na hoja zako zimekuwa mwiba kwa Dr Slaa. Nilitegemea kwa vile yeye ni Katibu Mkuu, tena wa Chama kikubwa, nilijua uelewa wake utakuwa mkubwa. Ni aibu kwa CHADEMA kuwa na mtu ambaye badala ya kujibu hoja, analeta mipasho jukwaani
 
amesahau serikali yao ya magamba ilivyomfanyia vibaya mzalendo Dr Masau na hata baba yake akashindwa kutoa mkono wa pole kama ai rambirambj wala kuhudhuria mazishi. NAICHUKIA SANA HIYO FAMILIA YENU.
Mbona unaonekana unasila sana kwani leo slaa hajakupa posho mwenzenu anawatumia yeye anajali familia yake mtakoma,
tena kwa jinsi umri ulivyomwacha atahakikisha anamaliza hela za chama zote siku anaondoka na chadema inakufa.
 
Ritz, picha zina tarehe za mwaka 2012, na 'habari' yako ina tarehe za mwaka 2013..!!!!
Rekebisha 'uongo' huu kwanza.
Mkuu, nadhani wewe hujaelewa. Ritz kasema kuwa wajapan walitembelea mwezi Juni 2013 nyumbani kwa Dr Slaa. Picha zilizowekwa ni wakati Josephine akiwa ziarani Japan mwaka 2012 kuthibitisha kuwa kumekuwa na watu hawa kutembeleana katika kufanikisha mipango yao
 
Siasa ni mchezo wa ajabu sana na ukiingia kwenye siasa ni sawa na kuyavulia maji nguo ambapo inabidi uyaoge.

Kuingia kwenye siasa ni sawa na kuacha milango ya nyumba yako wazi ambapo mtu yeyote anaweza kuingia na kuona unachokifanya na pia kila kitu kilichoko ndani ya nyumba, wakati mwingine hata kuchukua chochote atakachoona kina value.

Kwenye siasa, mtu mchafu anaweza kusafishwa na msafi anaweza kuchafuliwa. It's how you play the dirty game of politics.

Kabla ya kufikia October 2015, tutaona na kusikia mengi hasa ikichukuliwa kuwa principle mojawapo ya siasa ni kutenda kile unachokihubiri.

Yetu macho na masikio.
 
Mkuu Ritz, hakika wewe umekuwa shujaa na hoja zako zimekuwa mwiba kwa Dr Slaa. Nilitegemea kwa vile yeye ni Katibu Mkuu, tena wa Chama kikubwa, nilijua uelewa wake utakuwa mkubwa. Ni aibu kwa CHADEMA kuwa na mtu ambaye badala ya kujibu hoja, analeta mipasho jukwaani

uelewa wa slaa wa kawaida sana yeye anawamudu akina josefine tu mengine hawezi pengine na ujanja wa kuongopea watu.
 
Mtakuja kuelewa tu baada ya kuibiwa saaana na hao akina Silaha na Dj Mbowe! Hawana uzalendo wala nini! Ni wajasiria mali tu! Zindukeni nyie misukule!

Ni akili ya ajabu tu ndiyo inayoweza kumfikiria mtu/watu ambao hawajaanza wizi (kuhisi kwamba flani atakuja kuwa mwizi) na kuacha kupambana na watu wanaokuibia leo,
Mwizi wa sasa anaweza kumaliza hata huyo wa baadaye asipate cha kuiba, angalia madini, wanyamapori na kodi zetu zinaishia kwenye mifuko ya viongozi wa serikali ya ccm, badala ya kuungana tupambane nao tumebaki kupiga kelele tu kuwa wakina flani nao watakuja kuwa wezi,
shame on you. Poor thinking......
 
nendeni mkamkande maji ya baridi kwa sasa atakuwa amepata moto kweli kwa kuambiwa ukweli.

Kajikande wewe makalio maana mnasota sana na hizo buku za Lumumba kujadiri watu badala ya hoja.
 
hata weye unawajua hao hapo kwenye redi
hasa akiwa wa kiume kama wewe
anapendezaje.


Kweli nimeamini kah*ba ni k*haba tu hata akiwa mtawa hawezi kuficha tabia yake...

Hapa mdada umeonyesha tabia yako ya ndani kabisa,,, tamaa mbaya sana,, naamini buku saba ya Lumumba kwa nyie wenye tamaa ni ngumu sana kuwatosha.
 
You are just being nasty because Dr. Slaa is threatening the success of your Chama cha Mafisadi in 2015.

For your information charitable Voluntary Agencies like Churches which offer to build schools or hospitals are exempt from taxes. The equipment they import for such projects is also exempt from customs duty and sales tax. I know this because I personally introduced the exemptions when I was Minister of Finance in 1978.

The best way to speed up social development for our people is to ensure such projects are built cost-effectively.

Maneno yako yanadhihirisha kuwa ulianzisha hiyo exemptions kwa matakwa yako binafsi na ziamini kama kulifanyika consultations ya kutosha. Wakati huo kumbuka serikali ilikuwa kwenye fungate ya ndoa yao na Kanisa Katoliki. hivyo upendeleo huo ulianzishwa kwa lengo la kusaidia taasisi za kanisa ambazo wakati huo zilikuwa kwenye hali mbaya kiuchumi. pia hoja hiyo ilianzishwa ili kuzifanya taasisi za dini zishiriki ipasavyo vita ya kagera. ila kwa sasa hoja hiyo inapaswa kuangaliwa upya. ukienda kwenye hospitali zisizolipiwa kodi, zinatoza ghatrama kubwa sana tena sana. hali yiyo pia ipo kwa shule na vyuo. badala ya exemptions kusaidia wananchi, inasaidia watu wengine kama akina dr slaa na SACCOS yao ya CCBRT, na wengine wengi
 
Siasa ni mchezo wa ajabu sana na ukiingia kwenye siasa ni sawa na kuyavulia maji nguo ambapo inabidi uyaoge.

Kuingia kwenye siasa ni sawa na kuacha milango ya nyumba yako wazi ambapo mtu yeyote anaweza kuingia na kuona unachokifanya na pia kila kitu kilichoko ndani ya nyumba, wakati mwingine hata kuchukua chochote atakachoona kina value.

Kwenye siasa, mtu mchafu anaweza kusafishwa na msafi anaweza kuchafuliwa. It's how you play a 'political game'.

Kabla ya kufikia October 2013, tutaona na kusikia mengi hasa ikichukuliwa kuwa principle mojawapo ya siasa ni kutenda kile unachokihubiri.

Yetu macho na masikio.

Na hili la leo kwa dr slaa ni mwiba wa hali juu sijui atauchomoaje japo anajitahidi kutapata humu kujibu. Ritz endelea kuwafumbua macho watanzania mkuu. Kama wanafikiri ccm kuna wahujumu nchi wasisahau na chadema wapo tena wa hatari.
 
Last edited by a moderator:
You are just being nasty because Dr. Slaa is threatening the success of your Chama cha Mafisadi in 2015.

For your information charitable Voluntary Agencies like Churches which offer to build schools or hospitals are exempt from taxes. The equipment they import for such projects is also exempt from customs duty and sales tax. I know this because I personally introduced the exemptions when I was Minister of Finance in 1978.

The best way to speed up social development for our people is to ensure such projects are built cost-effectively.



Heshima kwako mzee Mtei. You are very right, charitables are exempted and what I know is that CHADEMA is not a charitable organization!

Confusion ninayoipata ni kuwa DR si alishastaafu kule kwa ajili ya kufanya siasa? In what capacity is he associating himself with the church now?

Sasa kwanini asiwaachie labda maaskofu wengine ku run hiyo shoo ili yeye ajikite kwenye mambo makubwa zaidi ya kuchukua nchi?

Hapa si inaweza kuonekana kwamba CDM inachanganya mambo hasa kwa vile DR ni mtendaji wa chama? Just curious!
 
Mara nyingi Dr.Slaa amekuwa anikuu maneno ya Mwalimu Nyerere, juu ya nani ni mzalendo na zaidi kwamba kiongozi wa Watanzania anapaswa kuwa awe mtu muadilifu.

Vifaa vya hospitali havilipiwi kodi hapa Tanzania.
 
564850_451742318204638_1389975028_n.jpg

Kwahiyo hapa ndio wanakwepa kodi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom