Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
Hakuna majungu hizo ni fikra zako subiri nikuwekee picha za mikutano.

Wajapani wamepewa ahadi nyingi tu.

Vuta subira mkuu Pasco.

Sidhani kama umejibu hoja ya Pasco, vuta subira...wajapani wameahidiwa ahadi nyingi na kadhalika ni maneno ya kujazilishia umbea wako na kujitoa kimasomaso...hoja ya Pasco imelenga katika mada yako ambayo ni ukwepaji wa kodi. Vifaa vya hospitali hulipiwa kodi?

Kama mnaagiza madawa ya kulevya na hamlipi ushuru, haya ya hospitali unataka kuyakata kodi baba? Hii mada yako badala ya kukupatia '7 books' inaweza ikakupatia lawama
 
Last edited by a moderator:
Hivi watanzania tutaacha lini majungu...? TANGU LINI VIFAA VYA HOSPITALINI VIKALIPIWA KODI...? Tufanye kazi tuinue uchumi wa nchi yetu japo mafisadi wa CCM wanakwamisha kasi ya maendeleo
 
chama cha vijana kama wanavyodai, viongozi wazee, huo urais 2015 ni wa kule karatu au ni wa sehemu ipi ya tanzania??
 
Dr endelea na majukumu mazito achana na hawa vijana ambao hii kwao uwaingizia kipato na mkono kwenda kinywani!!!!![/QUOTE]
Mimi nimemuuliza dr slaa wewe kimekuuma nini,
pilipili ya shamba yakuwashia nini naona unaitafuta tu.
 
chama cha vijana kama wanavyodai, viongozi wazee, huo urais 2015 ni wa kule karatu au ni wa sehemu ipi ya tanzania??
Mkuu ni ajabu sana chama kinatangazwa kuwa cha vijana halafu viongozi wazee kazi tunayo.
 
Mkuu, si kla kitu ban zinafaa. Mambo mangapi tunasoma humu ni uongo mtupu lakini hakina ban? Hapa anayestahili kupigwa ban ni Dr Slaa kwa vile anatoa majibu mepesi na yasiyolingana na maswali aliyoulizwa. Haina maana sasa ya kutumia ID as a verified user

Huyo mmeo Ritz anapaswa kula ban ya wiki 2 ili ashike adabu kutufanya watu wazima watoto
 
Last edited by a moderator:
Dr Slaa, tafadhari usiwe unajibu thread za hawa MISIKULE wa Lumumba!! Tuachie sisi!! Haya mamburura yanaleta mada za kipumbavu ili uyajibu yaongeze posho!!!

------- kabisa haya machangu ya Lumumba!!
Dr Slaa anajibu kutokana na sababu zifuatazo
  1. kwa vile vijana aliowaajiri pale kinondoni wana mgomo baridi kutokana na kutolipwa posho zao.
  2. Pia anajibu kwa vile uwezo wa vijana wake kujibu hoja zinazoletwa ni mdogo. Haya ndo madhara ya chama kujaza vihiyo kikitetea mitandaoni
  3. aidha, DR Slaa anajitokeza kujibu ili kuwaamsha vijana wake wanaolala. Utaona tu baada ya dr slaa kujibu, vijana wake wanaanza kuongia kwa nguvu
 
Wanatumia nguvu kweli kweli.Bahati nzuri hii game yao tunaijua
chadema wabaguzi sana kwahiyo mkaona huu ndio muda muafaka wa kuanza kupiga dili kimya kimya..mkipanda majukwaani pipooooz, mkishuka dili kama kazi..aisee, kweli pipoz power ya mifukoni
 
Kweli nimeamini kah*ba ni k*haba tu hata akiwa mtawa hawezi kuficha tabia yake...

Hapa mdada umeonyesha tabia yako ya ndani kabisa,,, tamaa mbaya sana,, naamini buku saba ya Lumumba kwa nyie wenye tamaa ni ngumu sana kuwatosha.

Kama umeamua kumtukana Mamndenyi kwa maoni yake tena tusi baya kiasi hicho nathubutu kusema hata mama yako unamuambiaga hivyohivyo. We mtu -------- sana. Cc chama.
 
Last edited by a moderator:
chama cha vijana kama wanavyodai, viongozi wazee, huo urais 2015 ni wa kule karatu au ni wa sehemu ipi ya tanzania??

Dr endelea na majukumu mazito achana na hawa vijana ambao hii kwao uwaingizia kipato na mkono kwenda kinywani!!!!!
Mimi nimemuuliza dr slaa wewe kimekuuma nini,
pilipili ya shamba yakuwashia nini naona unaitafuta tu.[/QUOTE]

Mkuu ni ajabu sana chama kinatangazwa kuwa cha vijana halafu viongozi wazee kazi tunayo.

Mpo kikazi zaidi kwa malipo ya buku 7 mnajulikana ili uzi ule nyomi ndo mmekuja na huu uongo.
 
Tangu dr slaa amuunge mkono kagame nilijua huyu siyo mtu wa kutumikia taifa hili.
kama aliweza kushirikiana na kagame ataacha kukwepa kodo kuwatumia wageni na kanisa.
 
Huyo mmeo Ritz anapaswa kula ban ya wiki 2 ili ashike adabu kutufanya watu wazima watoto
Kama nyie ndo mods, basi tunakubaliana na misimamo yenu ila mjitahidi kuweka kipengele cha mtu kukata rufaa pale anapoona kuwa amepigwa ban isiyo halali au kutokana na shinikizo la members wasiompenda. Ni wazi pia mkafikiria kuweka kipengele cha member kumtaka atoe ufafanuzi wa hoja yake kabla hajapigwa ban. Vinginevyo tutaamini kuwa jukwaa linatumika kwa maslahi ya watu fulani
 
Mimi nimemuuliza dr slaa wewe kimekuuma nini,
pilipili ya shamba yakuwashia nini naona unaitafuta tu.


Mpo kikazi zaidi kwa malipo ya buku 7 mnajulikana ili uzi ule nyomi ndo mmekuja na huu uongo.[/QUOTE]

Unaujua uongo wewe?!
 
hizi ni blah blah tu ushahidi upo wapi wa unayoyasema? ingekua kajenga guest kama babayako alafu akakwepa hapo sawa....muda mwingine uwe unaangalia vya kuongea utakuja kumsifia mtu pasipo kujua. kwaiyo slaa anapenda wananchi wake watibiwe vizuri hapahap rejea ccbrt
 
Labda uelewa wangu wa maswali ya kodi ni mdogo, lakini ninachojua mimi ni kuwa vifaa vya mahospitali vimesamehewa kodi pindi vinapoingizwa ndani ya Tanzania. Sio mashirika ya dini tu, hata watu binafsi wanapojenga hospitali wanasamehewa kodi hizo. Sioni hapo ni kwa namna gani Dr. Slaa anakwepa kodi kwa bidhaa ambazo zimesamehewa kisheria. Maelezo hayo yananifanya nimwone mwandishi wa habari hiyo ni muongo na mchonganishi.

Mkuu, ni kweli kuwa vifaa vya hospitalini vimesamehewa kodi lakini si sementi ya kujengea hospitali, mabati, nondo na vinginevyo ambavyo dr slaa ameagiza kutoka japan nayanaletwa kwenye makontena eti kwa kigezo tu kuwa ni mali ya kanisa
 
Kama nyie ndo mods, basi tunakubaliana na misimamo yenu ila mjitahidi kuweka kipengele cha mtu kukata rufaa pale anapoona kuwa amepigwa ban isiyo halali au kutokana na shinikizo la members wasiompenda. Ni wazi pia mkafikiria kuweka kipengele cha member kumtaka atoe ufafanuzi wa hoja yake kabla hajapigwa ban. Vinginevyo tutaamini kuwa jukwaa linatumika kwa maslahi ya watu fulani

Mi nakwambia kwamba hata hii thread utaon inatolewa humu mda si mrefu.
 
Nakumbuka maneno ya Dalailama: ''In the practice of tolerance, one’s enemy is the best teacher.”

MACHADEMA fanyieni kazi hizo tetesi badala ya kuponda tu, huenda mkapata cha kushika.

Halafu mbona uandishi wa DR kama si wa katibu?! Anaandika mwenyewe kweli? Just thinking aloud!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom