Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
haya slaa janga sugu la wazawa hilo sijui utajinasua vipi poele mzee slaa sasa upo wazi peupe kabisa.
 
Watu wanajisahau sana
hata hapo alipo hajui kafikaje

Ngoja nimwitie Ritz atasaidia hapa.

Kama umeamua kumtukana Mamndenyi kwa maoni yake tena tusi baya kiasi hicho nathubutu kusema hata mama yako unamuambiaga hivyohivyo. We mtu -------- sana. Cc chama.
 
Last edited by a moderator:
Dr.slaa ameshasaidia sana watanzania kupitia taasisi yake CCBRT,hivyo ana uzoefu wa kutoa huduma kwa wananchi!JK ana nini?msamaha wa kodi umeruhusiwa na govt ya ccm,hivyo laumu wabunge wa ccm kupitisha wakati mkulo alipojaribu kuifuta

Hapo kwenye nyekundu ...
anatoa msaada wa clinic kwa waadhirika wa sembe.
 
kama'kweli'anaipenda'hii'nchi'mbona'hospitali'tayari'zipo'kwanini'asijitoe'kuboresha'hata'moja'anakimbilia'kujenga'mpya'huo'ni'wizi'mtuupu
 
Jamani tuweni wazalendo na tuache unafiki. BADALA YA KUJADILI MAMBO YA MSINGI TUNALETA UDAKU USIO WA LAZIMA. NAOMBA RITZ TUELEZE NINI KIFANYIKE KUKOMESHA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA...
Wanaukumbi.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema, Dr. Slaa anapenda sana kujinasibisha kwamba yeye ni mzalendo wa kupindukia, anayechukia vitendo vya ufisadi na anayeionea huruma nchi yetu.

Taarifa za uhakika kabisa zinathibitisha kwamba mwishoni wa mwezi Juni, mwaka 2013 Dr.Slaa na Mchumba wake walitembelewa na kundi la Wapani wapatao 20 nyumbani kwao Mbweni, Kinondoni ambapo wote kwa pamoja walikula cha jioni.

Dhumuni la ugeni huo wa Wajapani, ilikuwa ni kuthibitisha kama kweli Chadema kina mpango wa kujenga hospitali kubwa ya kisasa katika eneo la Mlalakuwa Dar es Salaam, Wajapani hao ndiyo walipangwa au kuteuliwa kujenga hospitali hiyo, wameakikishiwa pamoja na mambo mengine ya kimaslahi yao makampuni yao mengine, kwamba msimamizi wa hospitali hiyo ndiyo atakayekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2015, kwa maana ya Dr. Slaa.

Mipango yote ya kujenga hospitali hiyo, inaratibiwa na Askofu mmoja anayemiliki Kanisa lake maeneo ya Kawe, Dar es Salaam, Askofu huyo amekuwa akifanya safari za Japani akiwa ameandamana na mchumba wa Dr. Slaa, Josephine, mpango unafanyanyika vifaa vyote vitakavyoingizwa kutoka Japani vipitie mikononi mwa Kanisa ili tu visitozwe kodi na serikali.

Ni Dr.Slaa huyu huyu, ambaye miaka michache iliyopita alitangaza orodha ya aibu ya mafisadi pale Mwembe yanga, leo hii anawakimbia Mamlaka ya Mapato nchini TRA.





Majibu kutoka kwa Dr. Slaa
 
You are just being nasty because Dr. Slaa is threatening the success of your Chama cha Mafisadi in 2015.

For your information charitable Voluntary Agencies like Churches which offer to build schools or hospitals are exempt from taxes. The equipment they import for such projects is also exempt from customs duty and sales tax. I know this because I personally introduced the exemptions when I was Minister of Finance in 1978.

The best way to speed up social development for our people is to ensure such projects are built cost-effectively.


A flag follows the direction of the wind...
 
Watu wanajisahau sana
hata hapo alipo hajui kafikaje

Ngoja nimwitie Ritz atasaidia hapa.

Mimi nadhani hakuna haja kuwajibu. Watu wengine hata hawafikiriagi vya kuandika. Sijui kutukana ndio jinsi wanavyowakilisha uchungu wao kwa taifa hili. Sijui kama matusi yanaondoa ufisadi, maisha magumu, dawa za kulevya n.k mimi nadhani watu wa namna hiyo hawapo vizuri kichwani mwao.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania tuna matatizo ya akili. Yani kuwa na uchungu na nchi ni kuboresha hospitali zilizopo? Kwani Dr slaa ni serikali?
kama'kweli'anaipenda'hii'nchi'mbona'hospitali'tayari'zipo'kwanini'asijitoe'kuboresha'hata'moja'anakimbilia'kujenga'mpya'huo'ni'wizi'mtuupu
 
Mara nyingi Dr.Slaa amekuwa anikuu maneno ya Mwalimu Nyerere, juu ya nani ni mzalendo na zaidi kwamba kiongozi wa Watanzania anapaswa kuwa awe mtu muadilifu.
Jibu maswali ya Dr Slaa hapo juu acha kujipoteza.....kwa nini uweke picha ya mjapani 1 na mchumba wa Dr badala ya wajapani 20 ulodai walimtembelea...??/ njaa za fikra zitakuuwa kijana.....!!??
 
mi huwa nashangaa sana kila siku hapa jf nawaona wale washabiki, wapenzi na wanachama wa chadema wamejaa chuki, jazba, matusi, maneno ya kukera, uongo na uzushi na kukosa uzalendo. Hivi hii ndiyo hali halisi ilivyo ndani ya chama chao au ni kukata tamaa?

kwaiyo wewe unafurahishwa na udhaifu wa ccm?? Mtu yeyeto anayejitambua na mwenye uchungu wa inchi yake lazima awe mkali kwa mambo yamsingi,,sio wakati wa ndioooooooooo kwa maslai ya chama na sio maslai ya wananchi,,,,,( zidumu fikra za mwenyekiti,,,mambo gani hayooo///)
 
Slaa na genge lake la chadema ni wajasiriamali wa kisiasa

Yaani hii thread inewekwa hapa ili kujaribu 'kusahaulisha' watanzania kuhusu kashfa za madawa ya kulevya hapa Tanzania.
Hii inanikumbusha mwaka 2011 wakati 'babu' wa Loliondo alivyotumika 'kusahaulisha watanzania kuhusu kashfa za wizi wa kura kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, na pia kashfa ya Dowans.

meli.jpg
 
Jibu maswali ya Dr Slaa hapo juu acha kujipoteza.....kwa nini uweke picha ya mjapani 1 na mchumba wa Dr badala ya wajapani 20 ulodai walimtembelea...??/ njaa za fikra zitakuuwa kijana.....!!??
Mimi na Dr.Slaa nani anatakiwa kujibu maswali.

Hakuna alichojibu Dr.Slaa zaidi ya mipasho.
 
Mimi na Dr.Slaa nani anatakiwa kujibu maswali.

Hakuna alichojibu Dr.Slaa zaidi ya mipasho.

Wala hakuna cha kujibu zaidi na mvuke wenye mapovu.
Kajiratibu ratibu na ujipange pange upya.
 
Mimi na Dr.Slaa nani anatakiwa kujibu maswali.

Hakuna alichojibu Dr.Slaa zaidi ya mipasho.

Rekebisha tarehe kwenye habari yako ili iendane na tarehe kwenye picha.
Habari inasema mwaka 2013, picha za mwaka 2012...!!!!
Rekebisha habari, au rekebisha picha...!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom