Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
hiyo kodi unayozungumzia ni bidhaa zipi na aina gani ya kodi? Tunapozungumzia kodi kuna:
1. Ushuru wa forodha
2. Kodi ya ongezeko la thamani (vat)
nk.

Katika sheria ya kodi ya ongezeko la thamani (vat) ya mwaka 1997, kuna mambo ambayo kwa kiingereza wanasema:
1. Taxable supplies - which includes standard rate (18%), zero rated and special relief (which is either 100% or 45%)
2. Exempt supplies
3. Out of scope.

Ritz nakuomba umtafute mtu yoyote aliye mtaalamu wa masuala ya kodi akushauri na hatimaye utakapokuwa umeelewa ni aina gani ya kodi inayokwepwa basi utuletee hayo matokeo humu. Kwa jinsi ninavyoona kwa mbali ulicholeta hapa kinaweza kuwa utaratibu wako wa kawaida wa kuhangaika na maisha ya dr. Slaa hata kwa gharama ya kusema uwongo.

Kama taasisi inayotaka kujenga hospitali itaomba msamaha wa kodi basi itaomba kwa mujibu wa sheria kodi ya nchi hii. Na kama anakwepa basi taasisi hiyo na wahusika watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ya nchi. Wewe ulichokileta bado hakijakamilika na hapo hapo unadai ukwepaji wa kodi. Hapo hapo unazungumzia uagizaji wa vifaa na vifaa vyenyewe hujabitaja ili tujue kama kweli vinalipiwa kodi na kodi hiyo ni ya aina gani.







naaaaaaaaam
 

Attachments

  • 1231696_155662197967898_147786647_n.jpg
    1231696_155662197967898_147786647_n.jpg
    6.5 KB · Views: 105
Dr.W.Slaa, tatizo lake kubwa ni ubinafsi na ni mtu anayependa kujipigania mwenyewe.

Bahati nzuri amepata wafuasi ambao hawajitambui hata siku moja hawawezi kuhoji chochote.

Yeyote atakayejaribu kuhoji mkono wa chuma unamshukia.
 
Last edited by a moderator:
Dr.W.Slaa, tatizo lake kubwa ni ubinafsi na ni mtu anayependa kujipigania mwenyewe.

Bahati nzuri amepata wafuasi ambao hawajitambui hata siku moja hawawezi kuhoji chochote.

Yeyote atakayejaribu kuhoji mkono wa chuma unamshukia.


Watajitambuajewakati nguvu zao zote wamewekeza kwenye sumu?!!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo scendo ya kukwepa kodi umeitoa wapi weka sorce nakodi anayo kwepa ni sh ngapi? c'mon muuza sembe Ritz you should grow the f#K UP.
 
tarifa yako ya mwaka gani kwani uongo si dhambi?

VAT Exemption and special relief. Under the VAT law, there are certain goods and services which are exempted from VAT. Such goods or services are like food crops and livestock supplies, equipments used for storage, transportation, and distribution of natural gas, health supplies and hospital equipment, education services,........

Source: Tanzania Revenue Authority - What are tax incentives which are provided under the Value Added Tax Act, 1997?
 
Vijana wa Ccm kwa mipasho na maneno ya khanga wame shindikana.... thread kama hizi ni dhairi zina onyesha kifo cha ccm.
 
Wakuu! Mleta uzi huu kwanza hajasema chanzo cha habari yake, pili nijuavyo mimi miongoni mwa vitu visivyolipiwa kodi ni pamoja na hospitali na shule; hivyo hata kama kungekuwa na suala hilo la ujenzi wa hospitali tusingeweza kujadili suala la ukwepaji kodi kwa kuwa hospotali hazilipiwi kodi, tatu anaesema kuna ukwepaji kodi ni nani? na mwisho uzi huu umelenga uchochezi wa kidini na kuwachafua watu wa dini fulani kwa sababu maalum. Ritz alete ushahidi wa mambo anayosema hapa asipoleta; tutatafsiri kuwa huu ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta uchochezi wa kidini na bila shaka mods watamuhudumia ipasavyo.
mi huwa naamini hili kundi la akina Ritz akiondoka kikwete akaja rais asiye na dini ya kikwete watapotea
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hakuna anayepinga ili jambo la kujenga hospitali watu wanachapinga ukwepaji

kodi.

Ritz, wewe umelipa kodi ya shilingi ngapi kwa biashara yako ya sembe? Kinana amelipa shilingi ngapi kwa biashara ya meno ya tembo?
 
tarifa yako ya mwaka gani kwani uongo si dhambi?

Import Tariffs

•
There are currently three bands – 0%, 10%

and 25%.
•
In order to protect local manufacturers of
medicines, a duty of 10% has been levied
on all pharmaceutical products other than
ARVs, anti-malarial drugs, TB medicines
and Tanzanian Government procurement.
Import duty has also been removed from

textile fabric and felt, medical equipment
for use in licensed hospitals, raw materials

for school chalk manufacture, energy saving
bulbs and inputs for the manufacture of
solar equipment.
 
VAT Exemption and special relief. Under the VAT law, there are certain goods and services which are exempted from VAT. Such goods or services are like food crops and livestock supplies, equipments used for storage, transportation, and distribution of natural gas, health supplies and hospital equipment, education services,........

Source: Tanzania Revenue Authority - What are tax incentives which are provided under the Value Added Tax Act, 1997?
Na hapo pa hospital equipment panahitaji tafsiri pana. Sidhani kama TRA walilenga mifuko ya sementi na mabati ya kujengea hospitali kama walivyotafsiri dr slaa na gwajima
 
Wataalamu wa kodi watusaidie, hivi vifaa vya hospitali vinalipiwa kodi?

Ritz mkuu tuelimishe, hili ni jedwali la ngapi kwenye Sheria ya kodi?? (Income Tax Act??), manake tusje ongea bila ya kuwa na facts.
 
hata weye unawajua hao hapo kwenye redi
hasa akiwa wa kiume kama wewe
anapendezaje.

Nimecheka sana kumbe na wewe umoeeeee?!!halafu kwani huyu ni wa kiume?!wanaume hatuna ujinga kama huu na hasa kwa watoto wa kike waliotulia kama wewe Mamndenyi kwa sisi tunaokujua,huyu ni mtoto mmoja wa kike tena wa mitaani si unaona tu maandishi yake.
 
Hiyo scendo ya kukwepa kodi umeitoa wapi weka sorce nakodi anayo kwepa ni sh ngapi? c'mon muuza sembe Ritz you should grow the f#K UP.
Bavicha sounds...
 
Hata wale vichaa walioko Mirembe walianza kama wewe huna tofauti nao na wewe umekaribia kupelekwa huko huko Mirembe.

Pengine hujakosea...Yawezekana kabisa nipo Kibaigwa naelekea huko Mirembe.

:focus:

Tunahitaji uthibitisho wa ushuzi mliopost humu leo.




 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom