Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Hakika katika JF hakuna kama wewe, Mambo ya hovyo hovyo.Kamanda hebu acha kupotosha CCBRT siyo taasisi ya Dr.Slaa.
Kwenye vikao vyenu vyama Chadema ndivyo anavyowadanganya.
Muulize tena vizuri.
Hakika katika JF hakuna kama wewe, Mambo ya hovyo hovyo.Kamanda hebu acha kupotosha CCBRT siyo taasisi ya Dr.Slaa.
Kwenye vikao vyenu vyama Chadema ndivyo anavyowadanganya.
Muulize tena vizuri.
Wanaukumbi.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema, Dr. Slaa anapenda sana kujinasibisha kwamba yeye ni mzalendo wa kupindukia, anayechukia vitendo vya ufisadi na anayeionea huruma nchi yetu.
Taarifa za uhakika kabisa zinathibitisha kwamba mwishoni wa mwezi Juni, mwaka 2013 Dr.Slaa na Mchumba wake walitembelewa na kundi la Wapani wapatao 20 nyumbani kwao Mbweni, Kinondoni ambapo wote kwa pamoja walikula cha jioni.
Dhumuni la ugeni huo wa Wajapani, ilikuwa ni kuthibitisha kama kweli Chadema kina mpango wa kujenga hospitali kubwa ya kisasa katika eneo la Mlalakuwa Dar es Salaam, Wajapani hao ndiyo walipangwa au kuteuliwa kujenga hospitali hiyo, wameakikishiwa pamoja na mambo mengine ya kimaslahi yao makampuni yao mengine, kwamba msimamizi wa hospitali hiyo ndiyo atakayekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2015, kwa maana ya Dr. Slaa.
Mipango yote ya kujenga hospitali hiyo, inaratibiwa na Askofu mmoja anayemiliki Kanisa lake maeneo ya Kawe, Dar es Salaam, Askofu huyo amekuwa akifanya safari za Japani akiwa ameandamana na mchumba wa Dr. Slaa, Josephine, mpango unafanyanyika vifaa vyote vitakavyoingizwa kutoka Japani vipitie mikononi mwa Kanisa ili tu visitozwe kodi na serikali.
Ni Dr.Slaa huyu huyu, ambaye miaka michache iliyopita alitangaza orodha ya aibu ya mafisadi pale Mwembe yanga, leo hii anawakimbia Mamlaka ya Mapato nchini TRA.
mods pelekeni hii kwenye habari mchanganyiko
Kamanda hebu acha kupotosha CCBRT siyo taasisi ya Dr.Slaa.
Kwenye vikao vyenu vyama Chadema ndivyo anavyowadanganya.
Muulize tena vizuri.
chama umeona jinsi nchi inavyoliwa;
na ukifuatilia hata hao wageni watakuwa aliingia kwa
mwavuli wa dini.
Hapa hajaingia ikulu siku akiingia hiyo misamaha ya kodi
itasambazwa kama njungu.
Kamanda JF siyo mali ya Chadema, wewe unataka kusikia mazuri ya Chadema tu.
Kamanda hebu acha kupotosha CCBRT siyo taasisi ya Dr.Slaa.
Kwenye vikao vyenu vyama Chadema ndivyo anavyowadanganya.
Muulize tena vizuri.
Upuuzi kama huu unahitaju kufunguluwa kurasa za wapuuzi.
Kamanda udini upo wapi, naona hautaki kabisa kusikia mabaya ya Dr. Slaa, umemua kuomba msaada kwa Mods.Wakuu! Mleta uzi huu kwanza hajasema chanzo cha habari yake, pili nijuavyo mimi miongoni mwa vitu visivyolipiwa kodi ni pamoja na hospitali na shule; hivyo hata kama kungekuwa na suala hilo la ujenzi wa hospitali tusingeweza kujadili suala la ukwepaji kodi kwa kuwa hospotali hazilipiwi kodi, tatu anaesema kuna ukwepaji kodi ni nani? na mwisho uzi huu umelenga uchochezi wa kidini na kuwachafua watu wa dini fulani kwa sababu maalum. Ritz alete ushahidi wa mambo anayosema hapa asipoleta; tutatafsiri kuwa huu ni mwendelezo wa jitihada zake za kuleta uchochezi wa kidini na bila shaka mods watamuhudumia ipasavyo.