Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Dr Slaa na njama ya kukwepa kodi

Status
Not open for further replies.
JF siyo mali ya Chadema kama haupendi kuiona hii thread majukwaa yapo mengi unaweza kwenda.

Umekuja kulia hapa Slaa halipi kodi wkt wewe ndiwe una serikali tukuelewaje jibu lake serikali dhaifu inashindwa kukusanya kodi mmeishia kuuza madawa ya kulevya.
 
Credibility ya source ya hii taarifa ni problematic na mleta taarifa alivyoiandika utadhani ni house boy wa Dr. Slaa kama sio room keeper wake. Tunachangia na bila hata kuhoji chanzo cha taarifa. Hata siku moja Maccm yakiongozwa na hawa wapuuzi kama kina Ritz hawawezi kuwa chanzo cha kuaminika cha taarifa kama hizi. Hili mni kundi la kina NAPE linaloishi kwa buku 7 za lumumba na kila siku wapo busy kuwachafua viongozi wa CDM humu. Wapo kwa ajili ya propaganda, wakilala Dr. Slaa, wakiwa usingizini Dr. Slaa, wakiamka Dr. Slaa.....kwa ujumla anawatoa kamasi jembamba na mti wenye matunda ndipo wanapotupa mawe.
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema, Dr. Slaa anapenda sana kujinasibisha kwamba yeye ni mzalendo wa kupindukia, anayechukia vitendo vya ufisadi na anayeionea huruma nchi yetu.

Taarifa za uhakika kabisa zinathibitisha kwamba mwishoni wa mwezi Juni, mwaka 2013 Dr.Slaa na Mchumba wake walitembelewa na kundi la Wapani wapatao 20 nyumbani kwao Mbweni, Kinondoni ambapo wote kwa pamoja walikula cha jioni.

Dhumuni la ugeni huo wa Wajapani, ilikuwa ni kuthibitisha kama kweli Chadema kina mpango wa kujenga hospitali kubwa ya kisasa katika eneo la Mlalakuwa Dar es Salaam, Wajapani hao ndiyo walipangwa au kuteuliwa kujenga hospitali hiyo, wameakikishiwa pamoja na mambo mengine ya kimaslahi yao makampuni yao mengine, kwamba msimamizi wa hospitali hiyo ndiyo atakayekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2015, kwa maana ya Dr. Slaa.

Mipango yote ya kujenga hospitali hiyo, inaratibiwa na Askofu mmoja anayemiliki Kanisa lake maeneo ya Kawe, Dar es Salaam, Askofu huyo amekuwa akifanya safari za Japani akiwa ameandamana na mchumba wa Dr. Slaa, Josephine, mpango unafanyanyika vifaa vyote vitakavyoingizwa kutoka Japani vipitie mikononi mwa Kanisa ili tu visitozwe kodi na serikali.

Hii njama za kukwepa kodi, kwa Dr. Slaa na Josephine, inaonekana kazi njema na takatifu kwa Dr Slaa.

Ni Dr.Slaa huyu huyu, ambaye miaka michache iliyopita alitangaza orodha ya aibu ya mafisadi pale Mwembe yanga, leo hii anawakimbia Mamlaka ya Mapato nchini TRA.

Upo sahihi mkuu umenena kweli. Hiyo ni njama ya waziwazi ya kukwepa kodi. Hivi wewe kwani unawaamini hawa viongozi wa chadema wanachokisema hadharani ndicho hali halisi
 
Mwanzo nilikuwa siamini kuwa kweli kuna watu "wanakosa usingizi" wakilisikia tuu jina la Dr. Slaa!.

Mimi sio mwana Chadema, ila haya usemayo kama ni kweli, then ni jambo jema!. Vifaa vya hospitali popote havilipiwi ushuru!. Hivyo usisingizie kuwa eti huo ushirikiano na dini fulani ni kwa lengo la kukwepa kodi!, umenoa!.

Tatizo lako Mkuu Ritz, ni ule tuu uoga wako kuhusu "2015" kuwa "jamaa anaweza kuwa!", hivyo sasa unaanza fitna kuwa hospitali msaada huo ni kwa sababu tuu wajapani wameahidiwa kuwa "2015 atakuwa!" ndia maana wanasaidia!.
Acha uongo, fitna na majungu!. 2015 litatimia lile tuu lililoandikwa!.
Ni "liandikwalo ndilo liwalo!" na sio "lisemwalo!".
Pasco.
 
Meno na Cocaine ushuru mnauza wapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ushuru wa meno na madawa ya kulevya unatumika kuimalisha ccm kwa kuhonga ubwabwa, khanga, t shirt, kofia
 
Credibility ya source ya hii taarifa ni problematic na mleta taarifa alivyoiandika utadhani ni house boy wa Dr. Slaa kama sio room keeper wake. Tunachangia na bila hata kuhoji chanzo cha taarifa. Hata siku moja Maccm yakiongozwa na hawa wapuuzi kama kina Ritz hawawezi kuwa chanzo cha kuaminika cha taarifa kama hizi. Hili mni kundi la kina NAPE linaloishi kwa buku 7 za lumumba na kila siku wapo busy kuwachafua viongozi wa CDM humu. Wapo kwa ajili ya propaganda, wakilala Dr. Slaa, wakiwa usingizini Dr. Slaa, wakiamka Dr. Slaa.....kwa ujumla anawatoa kamasi jembamba na mti wenye matunda ndipo wanapotupa mawe.
Nakuwekea picha sijui utakuja na maneno gani tena.
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema, Dr. Slaa anapenda sana kujinasibisha kwamba yeye ni mzalendo wa kupindukia, anayechukia vitendo vya ufisadi na anayeionea huruma nchi yetu.

Taarifa za uhakika kabisa zinathibitisha kwamba mwishoni wa mwezi Juni, mwaka 2013 Dr.Slaa na Mchumba wake walitembelewa na kundi la Wapani wapatao 20 nyumbani kwao Mbweni, Kinondoni ambapo wote kwa pamoja walikula cha jioni.

Dhumuni la ugeni huo wa Wajapani, ilikuwa ni kuthibitisha kama kweli Chadema kina mpango wa kujenga hospitali kubwa ya kisasa katika eneo la Mlalakuwa Dar es Salaam, Wajapani hao ndiyo walipangwa au kuteuliwa kujenga hospitali hiyo, wameakikishiwa pamoja na mambo mengine ya kimaslahi yao makampuni yao mengine, kwamba msimamizi wa hospitali hiyo ndiyo atakayekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2015, kwa maana ya Dr. Slaa.

Mipango yote ya kujenga hospitali hiyo, inaratibiwa na Askofu mmoja anayemiliki Kanisa lake maeneo ya Kawe, Dar es Salaam, Askofu huyo amekuwa akifanya safari za Japani akiwa ameandamana na mchumba wa Dr. Slaa, Josephine, mpango unafanyanyika vifaa vyote vitakavyoingizwa kutoka Japani vipitie mikononi mwa Kanisa ili tu visitozwe kodi na serikali.

Hii njama za kukwepa kodi, kwa Dr. Slaa na Josephine, inaonekana kazi njema na takatifu kwa Dr Slaa.

Ni Dr.Slaa huyu huyu, ambaye miaka michache iliyopita alitangaza orodha ya aibu ya mafisadi pale Mwembe yanga, leo hii anawakimbia Mamlaka ya Mapato nchini TRA.

Hivi yale madawa yakulevya unalipia kodi?
 
RITS. pole sana.. najua yote haya ni uoga na ufisadi wa baba yako kwn unajua cku dr. slaa akiingia ikulu mtadabuliwa wote. halafu nikutaarifu tu kuwa dr slaa cyo padre na suala lako uweke na ushahidi.halafu hv wewe unalala huku unawaza dr. slaa?
 
Mtakuja kuelewa tu baada ya kuibiwa saaana na hao akina Silaha na Dj Mbowe! Hawana uzalendo wala nini! Ni wajasiria mali tu! Zindukeni nyie misukule!

Msukule ni wewe uliyeambiwa ule nyasi ila ndege ya rais inunuliwe! Huna hata aibu tumeibiwa sana sihitaji hata kurudia!

By the way wewe msukule wambie mabwana zako wakukatie kidogo za Uswsisi usogeze maisha.
 
Ndio mana wenye akili huwezi kuta wanapigia kelele swala la cdm wanajua ni wachumia tumbo wote na wana njaa mbaya hawa jama ni kweli mtaendelea kuwa wapinzani wazuri mpaka tutapopata wapinzani wa kweli
 
Upo sahihi mkuu umenena kweli. Hiyo ni njama ya waziwazi ya kukwepa kodi. Hivi wewe kwani unawaamini hawa viongozi wa chadema wanachokisema hadharani ndicho hali halisi

Polisi mnao TRA mnao kwa nini mnalia?
 
Mwanzo nilikuwa siamini kuwa kweli kuna watu "wanakosa usingizi" wakilisikia tuu jina la Dr. Slaa!.

Mimi sio mwana Chadema, ila haya usemayo kama ni kweli, then ni jambo jema!. Vifaa vya hospitali popote havilipiwi ushuru!. Hivyo usisingizie kuwa eti huo ushirikiano na dini fulani ni kwa lengo la kukwepa kodi!, umenoa!.

Tatizo lako Mkuu Ritz, ni ule tuu uoga wako kuhusu "2015" kuwa "jamaa anaweza kuwa!", hivyo sasa unaanza fitna kuwa hospitali msaada huo ni kwa sababu tuu wajapani wameahidiwa kuwa "2015 atakuwa!" ndia maana wanasaidia!.
Acha uongo, fitna na majungu!. 2015 litatimia lile tuu lililoandikwa!.
Ni "liandikwalo ndilo liwalo!" na sio "lisemwalo!".
Pasco.
Hakuna majungu hizo ni fikra zako subiri nikuwekee picha za mikutano.

Wajapani wamepewa ahadi nyingi tu.

Vuta subira mkuu Pasco.
 
ungesubiri akwepe kwanza ndio ulete taarifa, haya ni mawazo yako tu.
 
Ndio mana wenye akili huwezi kuta wanapigia kelele swala la cdm wanajua ni wachumia tumbo wote na wana njaa mbaya hawa jama ni kweli mtaendelea kuwa wapinzani wazuri mpaka tutapopata wapinzani wa kweli

Buku 7 hiyo.
 
Msukule ni wewe uliyeambiwa ule nyasi ila ndege ya rais inunuliwe! Huna hata aibu tumeibiwa sana sihitaji hata kurudia!

By the way wewe msukule wambie mabwana zako wakukatie kidogo za Uswsisi usogeze maisha.

Mi huwa nashangaa sana kila siku hapa jf nawaona
 
Ripoti ya madawa ya kulevya yatoka tanzania kinara wa madawa ya kulevya,dr slaa na rev mtikila walimlipua riz1 ni kuhusu kuingiza ma semi trailer 100 riz1 awatishia kuwapeleka mahakamani mpaka leo hajawapeleka,nani mmiliki wa lake oil na homeshoping center? Davis mosha apata utajiri wa ajabu baada ya familia ya kifalme kuingia madarakani,nani anaowalinda darlive maana hatulali kwa makelele ya mziki,mtoto wa mfalme adakwa na madawa ya kulevya china mkulu amuokoa kwa gesi ya mtwara.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Kamanda takuwekea ushahidi wa picha.

Weka huo ushahidi ea picha na hizo picha zijieleze jinsi gani utazitafsiri kwamba doctor Slaa anakwepa kodi ukishindwa kuweka nenda mkasaidiane na mdogo wako kuuza sembe ila tutawadaka tu
 
Mara nyingi Dr.Slaa amekuwa anikuu maneno ya Mwalimu Nyerere, juu ya nani ni mzalendo na zaidi kwamba kiongozi wa Watanzania anapaswa kuwa awe mtu muadilifu.

Nani muadilifu ndani ya CCM. Wote wezi kuanzia baba mpaka watoto hyo kodi wanalipia wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom