ATAKAYENIBISHIA NA ANIBISHIE LAKINI UKWELI NDIO HUU: Mtindio wa ubongo haujamuacha
Ritz na
Lizaboni empty kabisa. Nafikiri ipo sehemu ya ubongo wao ambao haijaathirika kabisa and we should admit that the guys are making good use of the portion.
Serikali ya CCM imetufikisha mahali ambapo ukitaka huduma ya kijamii lazima uandamane au UWE UNAFAHAMIANA NA MTU WA NDANI. Katika hali hii, imejengeka tabia ya kupenda kujipendekeza au kuonesha misimamo mizito hata kabla hatujaombwa rushwa.
Mimi ushauri wangu kwako Mkuu
Ritz, haihitaji kufahamiana na Dr.Slaa ndio utibiwe CCBRT. Ulemavu wa akili si tatizo ambalo umejitakia, wewe ni victim tu wa mambo kadhaa yaliyojitokeza kwenye makuzi yako ya awali. Huna haja ya kutumia mbinu mbinu nyiiingi kudhihirisha mtindio. You just walk in to CCBRT reception na uanze kubwabwaja huu utumbo ulioandika hapa JF, believe me, in fraction of seconds utakuwa admitted 'duty free'.
Dr.Slaa ameuliza kama kuna kodi inachajiwa kwenye vifaa vya hospitali, hapo hukutoa jibu, ukarukia mambo mengine kudhihirisha kuwa una matatizo ya akili. Swali hilo hilo ameliuliza
Pasco, hukuweka majibu ukabakia tu kama viongozi wa chama chako ambao wanaamini zaidi ktk kunung'unika kuliko kuchukua hatua.
Dr.Slaa amepoteza muda mwingi kukuelewesha mambo ambayo hayaendani na uwezo wako wa kufikiri, badala yake alipaswa tu kukwambia
'huna haja ya kuandaa mazingira, matibabu pale CCBRT ni BURE'