Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,560
- 109,097
Angalia hili Gamba kwenye keyboard mnajifanya mahodari wa kuandika Lugha ya Kikristo ila mkiambiwa mjieleze Bungeni kwa lugha hiyo ni mgogoro mtupu, tuliyashuhudia haya kwenye uchaguzi wa Wabunge wa Afrika Mashariki, wengine ni walimu wa chuo kikuu lakini walichemsha lugha.It`s wasting of my valuable time to engaged in any kind of discussion with a coward like you! I always stand on my grounds to defend what I believe is the best for our country; You was supporting Malawi a day ago and today you pretends to be Chadema? Do you even know what it mean to be Tanzanian? Your are damn hopeless go to hell!!!
Chama
Gongo la mboto DSM
Vita ni last option pale njia za kidiplomasia zinaposhindwa, Taifa maskini kama Tanzania ambalo lipo kundi moja na Somali na Afghanstan huwezi kunishawishi kusapoti ujinga wa option ya vita wakati njia za Amani zipo na hazijashindikana, na usiniunderestimate ukadhani silijui genge la maharamia ndani ya CCM wanaowasupply silaa waasi wa Congo.
Kama nia yenu ilikuwa kutuibia pesa zetu kwa kisingizio cha vita hiyo janja yenu imeshindwa kabla haijaanza, nyinyi endeleeni tu kudhulumu mifuko ya hifadhi ya jamii ya Wafanyakazi.
Hivi nchi yenye hali hii unaweza kuwaza vita na watu wenye akili timamu tukuchekee tu!? wewe ni mpuuzi wa kwanza maana wa mwisho ana hafadhali.