Dr. Slaa, Mbowe waweka historia Kilombero!

Dr. Slaa, Mbowe waweka historia Kilombero!

Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM


Watu wengine bana . Huyu naye eti anaishi,sasa tumtofautisheje na kenge?
 
matola huna nyimbo vipi umerudi Malawi? Hapa ni watanzania tunajadili siasa za Tanzania

Chama
Gongo la mboto DSM
Wewe katika watu hopeless jukwaa hili basi unashika nafasi ya kwanza, huna lolote zaidi ya kuimba taarabu tu hapa. Kwa akili yako ndogo unadhani kuna mtu yeyote mwenye akili timamu angeweza kusapoti vita za kufikirika ili muuze silaa zenu wakati Diplomasia haijashindwa bado?

Wewe uti wa mgongo ulikutosha sana wala hukuwa na huitaji wa kupewa Ubongo, maana kazi ya Ubongo kwa binadamu ni kufikiri vizuri kitu ambacho huna hata chembe, sasa ubongo wa nini?
 
Wewe katika watu hopeless jukwaa hili basi unashika nafasi ya kwanza, huna lolote zaidi ya kuimba taarabu tu hapa. Kwa akili yako ndogo unadhani kuna mtu yeyote mwenye akili timamu angeweza kusapoti vita za kufikirika ili muuze silaa zenu wakati Diplomasia haijashindwa bado?

Wewe uti wa mgongo ulikutosha sana wala hukuwa na huitaji wa kupewa Ubongo, maana kazi ya Ubongo kwa binadamu ni kufikiri vizuri kitu ambacho huna hata chembe, sasa ubongo wa nini?

Nimecheka sana
 
Nadhani wewe ndio umekuwa mgumu wa kuelewa usichanganye maneno rudia kuisoma posti yangu usitie kauli yako kwenye kinywa changu, hata mikutano ya Chadema wanapiga nyimbo za kuwaburudisha wasikilizaji kabla ya mkutano haujaanza rasmi.

Chama
Gongo la mboto DSM
lakini si wewe umesema kuwa watu wanaenda hapo kwenye mikutano ya chadema kwasababu hawana pa kwenda kujirusha kama ilivyo kwa wakazi wa Dar?unafikiri kivipi mkuu?ndo shida ya kutokuwa na mawazo huru,unajikuta hata hujui unachoongea.
 
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM

Kisayansi huwa hatuangalii idadi ya vitu au watu tunaangali %, mafano kama kuna sehemu kuna watu 100,000 ambayo ni 80% wakahudhuria watu 70,000 si sawa na sehemu kwenye watu 500,000 alafu wahudhuriaji mikutano ni 50,000 ambayo 10%. Nadhani Molemo ame-base hapo.
 
Last edited by a moderator:
Kisayansi huwa hatuangalii idadi ya vitu au watu tunaangali %, mafano kama kuna sehemu kuna watu 100,000 ambayo ni 80% wakahudhuria watu 70,000 si sawa na sehemu kwenye watu 500,000 alafu wahudhuriaji mikutano ni 50,000 ambayo 10%. Nadhani Molemo ame-base hapo.
Unapoteza muda wako bure kumuelimisha mbumbumbu kama huyo, huyu hana hata habari kama Raza ameshinda Ubunge jimbo la Uzini kwa kura 5000 tu wakati bara hali ni tofauti kabisa, kuna mwehu mwingine yeye anasema watu walikwenda kuvuta muda wa futari, kwamba wao kila binadamu ni Mwislamu na anafunga Ramdhani!! hawa watu ni mizigo tu.
 
DK.slaa anatetea gazeti la mwanahalisi kwa sababu yeye ndie aliekuwa mhariri mkuu wa gazeti hilo kwa kutumia jina la saed kubenea wakati akijua kwamba kubenea ni standard seven!
Pole mzee kwa kukufungia gazeti naomba umuombe Anton komu aliyekuwa mmiliki wa gazeti hilo aanzishe gazeti lingine.pole sana babuuuuuuu!utapata urais tu hata wa kigamboni tutakupa tu.

Huyo Urais hata wa Kigamboni ausahau. Nani ampe?
 
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM
Kasema haiwezi kuandikwa KILOMBERO siyo Tanzania..pambanua kaka (gamba gumu)
 
Wewe katika watu hopeless jukwaa hili basi unashika nafasi ya kwanza, huna lolote zaidi ya kuimba taarabu tu hapa. Kwa akili yako ndogo unadhani kuna mtu yeyote mwenye akili timamu angeweza kusapoti vita za kufikirika ili muuze silaa zenu wakati Diplomasia haijashindwa bado?

Wewe uti wa mgongo ulikutosha sana wala hukuwa na huitaji wa kupewa Ubongo, maana kazi ya Ubongo kwa binadamu ni kufikiri vizuri kitu ambacho huna hata chembe, sasa ubongo wa nini?
Duuh! Mkuu Matola basi inatosha....msitiri huyo jamaa, kwani hajui kusoma alama za nyakati
 
Kweli mmepiga hatua kubwa si chama kimeguka saccos? Ombeni na nyie angalau mwende shule mjifunze namna ya kupambanua mambo

Chama
Gongo la mboto DSM

Ha ha haa, kama wewe unajiona umeenda shule kuliko sisi usiotujua, basi sina haja ya kubishana na wewe, unaonekana una kadigree kako kamoja au viwili unafikiri na sisi hatujaenda shule kwa kuwa hatukuoni kama una hoja ya msingi hapa. Narudia tena, huna hoja ya maana hapa wewe!
 
Ukiwaangalia sura zao wanaonekana ni wapiga kura kabisaaa . Kuna kazi kwenye kigumu chama cha mapinduzi. Papa Mteketa upoooooooooooooooo
 
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.

Chama
Gongo la mboto DSM

Akili yako na hapo pekundu unapoishi hamna tofauti mmezoea kupanda madaladala kupitia madirishani,wewe uko darasani utakua ulikuwa unapata zero.Sio saccoss tu hata kama akitaka sasa hivi tumchangie tutamtumia fedha kumwezesha na kampeni mpaka achukue nchi.
 
CDM ina wabunge wangapi Morogoro? Madiwani je? Tuombe hawa wanaojitokeza kwenye hii mikutano wawe wapiga kura wa kweli 2015 vinginevyo itakuwa ni maji ndani ya gunia
 
Back
Top Bottom