Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
Unataka za namna gani?
Last edited by Molemo; Today at 04:33. Reason: picture updates
Wakati naandika zilikuwa hazijawekwa.
Pamoja mkuu.
Unataka za namna gani?
Huyo Urais hata wa Kigamboni ausahau. Nani ampe?
Kasema haiwezi kuandikwa KILOMBERO siyo Tanzania..pambanua kaka (gamba gumu)
Watu wengine bana . Huyu naye eti anaishi,sasa tumtofautisheje na kenge?
Last edited by Molemo; Today at 04:33. Reason: picture updates
Wakati naandika zilikuwa hazijawekwa.
Pamoja mkuu.
Nassari una mikakati gani na jimbo lako???? Maana tangu umeingia,mara Kigoma, mara....Moro....Angalia
Wewe katika watu hopeless jukwaa hili basi unashika nafasi ya kwanza, huna lolote zaidi ya kuimba taarabu tu hapa. Kwa akili yako ndogo unadhani kuna mtu yeyote mwenye akili timamu angeweza kusapoti vita za kufikirika ili muuze silaa zenu wakati Diplomasia haijashindwa bado?
Wewe uti wa mgongo ulikutosha sana wala hukuwa na huitaji wa kupewa Ubongo, maana kazi ya Ubongo kwa binadamu ni kufikiri vizuri kitu ambacho huna hata chembe, sasa ubongo wa nini?
Wakati wenzenu wanachanja mbuga kuonana na wananchi kuwapa elimu ya uraia na kujielewa nyie viongozi wenu wanapigana vikumbo kutoa matamko ya vita na Malawi (ambavyo havitakuwepo) wakidhani watanzania wanataka vita hivyo watampa Uraisi atakaye toa tamko kali kuliko wenzie.Huyo Urais hata wa Kigamboni ausahau. Nani ampe?
lakini si wewe umesema kuwa watu wanaenda hapo kwenye mikutano ya chadema kwasababu hawana pa kwenda kujirusha kama ilivyo kwa wakazi wa Dar?unafikiri kivipi mkuu?ndo shida ya kutokuwa na mawazo huru,unajikuta hata hujui unachoongea.
Chama,Ahaa samahani nilisahau naongea na wanazi wa chadema UK mmefungua tawi watu walikuwa takriban 15 lakini kwenu walikuwa wengi sasa hata Kilombero watu 200 kwenu inaweza kuwa historia.
Chama
Gongo la mboto DSM
Where is Zitto kabwe huyu jama mbna simwelewi ziara kama hiziz mbna haonekani..!!
Where is Zitto kabwe huyu jama mbna simwelewi ziara kama hiziz mbna haonekani..!!
Chama,
Nimeangalia zile picha za London watu walikuwa zaidi ya 30 rafiki yangu. Give credit where it is due. Vipi utakuwepo uziduzi wa tawi la CCM/ DMV?
una akili ndogo sana,molemo kasema historia kilosa,wewe unasema historia tz,,kwa kweli unauzunisha sana.yeye kalinganisha mikutano zote zinazofanyika kila mara kilomberomolemo akili yako finyu sana hivi kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? Historia ambayo haiwezi kufutika ni dr. Slaa na wenzake kuigeuza chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.
Chama
gongo la mboto dsm
Kumbe umeona, eeh? Atakuwa na shughuli za kibinafsi.
ata kama unaandika naamini moyo inakusuta sanaahaaa haa wewe ndiye mwenye akili finyu ikiwa kama viongozi wanajikopesha pesa za chama hapa ni siasa au saccos
chama
gongo la mboto dsm
Mkuu,huyo jamaa wanamuangalia kwa jicho la tatu kama wafanyavyo kwa Shibuda....kuhusu urais atagombeaHalafu eti ndo awe rais, rais gani asiyejenga chama chake huyu?.