Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

siku mtakapoona Chama Kipya kinazinduliwa basi rudini hapa na mzungumze vitu kama Hivi mnavyonena Hapa. Staili anayotumia Dk Slaa ni Staili ambayo Ilitumiwa na Mpelelezi Matata Joram Kiango katika Mkasa Ule uitwao Tutarudi na Roho Zetu pale alipoiba pesa benki na kwenda kuomba Hifadhi ya Ukimbizi Kule South. Kilichotokea nadhani Hata kwa Dk kitatokea kama kile.
Aiseee anajiandaa kuanzisha chama chake? He he he mazito haya, kwanini asirudi CCM tu maana kadi anayo amsaidie magufuli,
 
dr. mihogo ile ahadi yake ya kupewa ubunge na uwaziri kumbe bado haijatimilika
 
Kuna nyuzi hapa zilidai Dr. kapewa pesa nzito nafikiri sio chini ya dola au paundi milioni moja. Sasa hiyo nyumba ina thamani gani hadi ashindwe kuilipia? Kuna ukweli gani kwenye habari hizi? Au ndio kumsanifu?
Kuna mjinga alitibua deal,
 
Hii habar siiamini hata kidogo Lizabon njoo thibitisha habar hii to maana nawe mwana mtandao
 
baadhi ya vyombo vya habari vya hapa nchini siyo vya kuamini au vya kuttumia kama source wengine hawana weledi hata kidogo wa uandishi bali wa be driven na wanasiasa. hapa nchini naona gazeti moja tu anagalau linajitaidi kuandika RAIA MWEMA
 
Kila nikikumbuka mbwembwe za kulipia vituo vingi vya tv hili kutoa tamko zito chini ya usimamizi wa usalama wa t/fa..na ccm.. ndani ya hoteli ya nyota tano..ha ha ha
Dr akatutukana wanaukawa kwa kutufananisha na kinyesi...kumbe yeye ndiye kinyesi..
kwakweli josephine ni habari nyingine..
Acha kabisa, ilikua siku mbaya sana kwa wana chadema,
 
Bila shaka Dr. Slaa anaelewa michezo inayochezwa. Itakuwa ajabu kama hajui kile kinachoitwa "siasa ni mchezo mchafu" ni nini hasa. Kuhusu CDM sioni itapata faida gani kutishia uhai wake labda kama chama kina zero intelligence. Nachoona ni wale "waliommiliki" Dr. na kumfadhili wakati akiigeuka CDM, kuhamia Serena hotel na kuzungukia vyombo vya habari kuiponda CDM na Lowasa ndio wenye manufaa makubwa kwa kifo au kudhurika kwake kimwili. Faida kuu mbili ni, kwanza, kuwaaminisha watu kuwa ni "maadui wake wapya: CDM na Lowasa ndio wamefanya hivyo. Pili, ni "kumzima" asijeropoka yasiyotakiwa baada ya kumaliza kumtumia. Dr. anatakiwa kutumia intelligence yake vizuri sana katika hilo.

Kosa kubwa alilofanya Dr. ni kutotumia busara alipopewa tenda na watu wenye nia mbaya na "mikono michafu" waliotaka kuhujumu upinzani na kummaliza adui yao Lowasa. Yeye alimuona tu adui/"fisadi" Lowasa na kukerwa na CDM kumteua kuwa mgombea. LAKINI hakuona uovu na malengo batili ya waliompa tenda. Shortsightedness. Alitakiwa aone kuwa hawa ni watumia fursa tu; watu wa mikakati; kwamba ikibidi wanaweza "kumzima" waliyemtumia asije akaleta nuksi baadaye. He should be more smart on these kinds of moves. Jazba haitakiwi kabisa.

Siamini kama suala la nyumba ndilo linamkimbiza. Kama ilivyosemwa huko nyuma, alipewa mshiko wa kutakata. Labda kama wenye kusema hivyo wana"enjoy" kumsanifu tu. Nahisi amepoteza mwelekeo wa maisha na kushindwa kuona ni vipi atarejea kuishi Tz baada ya yote yaliyotokea. Labda pia mwisho wa visa umefika. Hivyo inabidi aombe uraia kwenye nchi yenye uwezekano mkubwa wa kupata. Huyu ni mtu aliyezoea harakati na mazingira ya Tz. Sijui ataweza vipi kuishi nje permanently.
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?


Akili said kushikiwa na mwanamke Mshamba wa ulaya ..,na kututia aibu watanzania......Asiombe ukimbizi lowassa aliyeigharim ccm au Sumaye wazir I mkuu aliyehama Chama aombe Slaa kiongozi wa chama ambacho hakina dola...kwanza uchaguzi umeisha na hasira za watu juu yake zimeisha
 
Dr. Slaa Mungu akupe moyo Wa ujasiri. Kwa kweli mwanadamu ni kiumbe mbaya kuliko mnyama. Hivi kweli yote uliyoyafanya Chadema yametupwa Leo unaambulia matusi mazito hivi kwa vijana Wa Chadema??

Kama wameufanyia hivi mti mbichi??, itakuwaje kwa mti mkavu?? Kweli vita ya madaraka hasa urais ni mbaya mno.

Ushauri wangu kwasababu wewe ni mtu wa dini basi mtwike Bwana fadhaa zako zote maana yeye hujishughulisha na maisha yako. Wale wanaofahamu ulipoitoa Chadema wataendelea kukuheshimu bila hata KUJALI vyama vyao. Wale wenye moyo mgumu, moyo Wa lucifer wataendelea kukukejeli, hilo lisikusumbue yote ni maisha.

Jitahidi kuishinda vita yako kwa maombi BINAFSI na neno la Mungu kwa wingi. ZABURI 121

Queen Esther

Chezea Ccm wenye,Washamtumia na kumdampo.Sasa anaona aibu mke keshakula nyumba.Afadhali apotelee huko huko maisha yake yote.
Watanzania hawamwitaji tena.
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Yule jamaa wa RICHMOND aljyemshughulikia Mwakyembe. ni hatari sana ingawa Mungu kaingilia kati kamfanya ZEZETA kuongea kwenyewe shida. Pampasi,, 24 his. Ila Dr anahaki kuogopa hasa ukikumbuka Mtikila tayari hatunaye.
Huwa mnapuuza wanajimu, ila mtoto wa sheikh Yahya alishatabiri kurukwa kwa akili kwa kiongozi mmoja wa kisiasa nchini. Bado nafuatilia nijue alimtarget nani
... Mbona tayari utabiri ulitimia mkuu. Hukuliona ZEZETA likijinyea kwenye kampeni?
Tcu&source
 
Mwanangu Dr. Slaa cyo level yako hata mwk. wako taifa analijuwa hilo.
Nandiyo maana hadi leo chama hakijapata katibu mkuu hata wa kumsogelea kwa asilimia 6% tu hajapatikana cdm. Ni Mungu amempa uwezo huo na simwingine ni mungu wake.
Na kwalevo ya Dr awezi kuja cdm kuomba msamaa huyu jamaa anamisimamo sana, nadiyo maana kasema choo kime jaa mavi yamepakuliwa na kuletwa chumbani, leo ishajionyesha.
Tatizo la dr siyo siasa....
Angekuwa mtu wa kawaida kama wewe ungeweza kuishi tena maisha mazuri....hebu fatilia maisha ya mapadre walioacha na kuoa..... slaa ali shine sana cdm na tunatambua mchango wake... lakini mda unaongea sasa....
Kama wewe si mkatoliki na kama hujui stage anazopita mtu hadi kuwa padre mwishowe akahasi usingesema... time talks
 
Back
Top Bottom