mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
huyo alikuwa padri alivyo onja mzigo akahamia airtel
Inakimbia kivuli chake huku dhambi ya usiliti ikimwandamaHabari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Mkuu, ni chuo flan hapa tzWapi huko?!
UnamdanganyaHuko atafanya kazi gani? upadri haez rudi,siasa kashachemka,mchumba ndoa haieleweki,mkono wametegua,nyumbani anakuogopa. Oooh poor slaa,you failed to play your cards. Siasa nikama kamari unatakiwa ujue time ya kuicheza siasa,time ya kuhesabu hela na time ya kukimbia.
vijana kama kafulila na wenzake wajifunze,mtu maarufu ukifulia nitabu sana inabidi umwone psychologist.
Rudi hom dr. Slaa tupo tunaoenzi jitihada zako na tutakulinda kwa nguvu zooote
Atapata tabu sana mzee wa watu.Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Maneno mengi ya nini..nyie ccm mpeni msaada huyu mzee..unaona kaanza kujiita mkimbizi kwenye nchi za watuMwanangu Dr. Slaa cyo level yako hata mwk. wako taifa analijuwa hilo.
Nandiyo maana hadi leo chama hakijapata katibu mkuu hata wa kumsogelea kwa asilimia 6% tu hajapatikana cdm. Ni Mungu amempa uwezo huo na simwingine ni mungu wake.
Na kwalevo ya Dr awezi kuja cdm kuomba msamaa huyu jamaa anamisimamo sana, nadiyo maana kasema choo kime jaa mavi yamepakuliwa na kuletwa chumbani, leo ishajionyesha.
Eti mihogo,hahahahCanada kuna mihogo? Atakula nini basi?
Amekuwa anatangatanga kama yule mtoto mtoto wa ADAM, aliyejulikana kama KAINI
Mkubwa jf ni forum yenye heshima kubwa! Itendee haki,weka ushihidi wa gazeti na jina lake.Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Nadhani Josephine Mushumbusi ameamua kuuza hiyo nyumba kisela bila Dr kujua au kupata hata kumi!Chezea Ccm wenye,Washamtumia na kumdampo.Sasa anaona aibu mke keshakula nyumba.Afadhali apotelee huko huko maisha yake yote.
Watanzania hawamwitaji tena.
Kumalizia maisha kama mkimbizi hata haileti maana bora kujifia tuHuyu Dr kama kachanganya mambo vile !!!!.
Labda first lady ameleta shinikizo anyway apewe mzee amalizie maisha vizuri