Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
.Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!
Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Ni Magufuli na chama chake .Baada ya kumuingiza chaka wamempaki pembeni!
.