Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,620
13,358
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
 
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
Wamachame mnahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa vile
 
Yote hayo ni kumtetea Ayatolah Nkurunzinza Kagame Mugabe Museveni Kim Jong Un Freeman Alkaeli Mbowe.

Chadema mnasema ccm imekaa madarakani muda mrefu, itoke tupate uongozi mpya lakini ndani ya chama watu hawataki kuachia madaraka.

Chadema wazee wa kuhubiri wasichokiamini.

Mwaka huu ccm wakipata ushindi wa 99% mtasema wameiba kura😂. Ni mtu gani mwenye akili anaweza kuchagua saccos ya Mbowe?
 
Huo utafiti umeufanyia wapi wa ushindi wa Mbowe? Kila thread unaweka huo utafiti wako wa mfukoni.

Haya ni mateke ya mwisho ya farasi anayekaribia kufa, hayatomsaidia huyo Mbowe wenu. Mwambieni ukweli amechokwa.
 
Basi kama utaki kuamini kuwa MBOWE atamshinda kwa asilimia 70 basi lisu atamshinda yeye
 
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
Hakuna hoja hapa, lissu anaungwa mkono na wote, wanachadema na wasiokuwa wanachadema....
 
Tungekuwa na waandishi wenye akili huyu slaa angekutana maswali magumu sana. Shida wanatumika hovyo, kwa hiyo wanakichukua kile kinachosemwa tu
 
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
Vipi kuhusu Mbowe anayepigiwa kampeni na maccm pamoja na covid 19?
 
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
Utafiti au takataka tu, Mbowe amechokwa na kila mtu isipokuwa machawa wake kama wewe
 
Lissu akishinda uchaguzi mkuu Dr.Slaa apewe uwaziri mkuu wa Tanzania.
 
Dr Wilbroad Slaa aliyeikimbia Chadema katikati ya mapambano ya kukamata dola mwaka 2015 na kutunukiwa ubalozi kwa sasa ndiye mpiga debe mkuu wa Tundu Lissu kutaka kukamata uongozi ndani ya chama hicho

Dr Wilbroad Slaa aliyesema Tundu Lissu alipigwa risasi na wanachadema wenyewe huku Freeman Mbowe akitumia kila njia kuokoa maisha yake leo hii ndiye anayezunguka huku na huko kutangaza mtu anayefaa kuongoza Chadema

Dr Wilbroad Slaa aliyesema hadharani anachukizwa na watu wanaosema Freeman Mbowe siyo Gaidi leo hii anapiga propaganda kwamba Freeman Mbowe anapendwa na serikali.

Katika mahojiano na wanachama mbalimbali wa Chadema wamemtaka Mzee huyo apumzike na asitake kuchagulia Chadema viongozi kwani hana heshima hiyo ndani ya chama hicho.

Idrissa Abdallah aliyejitambulisha kama mwanachama wa Chadema alisema Dr Wilbroad Slaa anamchafua Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni na huenda akamharibia na kuzima ndoto zake za kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwani wanachama wanamchukulia Mzee huyo kama adui yao.

Hata hivyo katika tafika tafiti na chunguzi kadhaa mpaka sasa inaonekana Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe atachaguliwa tena kwa kupata kura kati ya asilimia 60% mpaka 70%
Hizi tafiti zako unazifanyiaga bedroom na mwamba itakuwa
 
Back
Top Bottom