Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Dr. Slaa aomba ukimbizi Canada

Ccm wabaya sana, yaani wakishakutumia na kufanikisha mradi wao wanakusahau sio jina tu bali hata sura.
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?

Kwani idara ya usalama wa viongozi wa ccm na vibaraka wao wameshindwa kumhakikishia usalama wake?! Dhambi ya usaliti inamtafuna, atajikuta kaomba hifadhi burundi kwa interahamwe Pierre!
 
Kwanza huku wana UKAWA wengi wanamuonea huruma
alivyoingizwa mkenge na Magufuli

Sasa watu wanao kuonea huruma wataku dhuru vipi?
Na CCM wameshamtumia na kufanikiwa.... nao pia sioni sababu ya kumdhuru.
 
Huko atafanya kazi gani? upadri haez rudi,siasa kashachemka,mchumba ndoa haieleweki,mkono wametegua,nyumbani anakuogopa. Oooh poor slaa,you failed to play your cards. Siasa nikama kamari unatakiwa ujue time ya kuicheza siasa,time ya kuhesabu hela na time ya kukimbia.
vijana kama kafulila na wenzake wajifunze,mtu maarufu ukifulia nitabu sana inabidi umwone psychologist.
Rudi hom dr. Slaa tupo tunaoenzi jitihada zako na tutakulinda kwa nguvu zooote
 
Kuna kila sababu za kumpa ushauri nasaha Slaa vinginevyo tutampoteza au atapata maradhi ya akili!
Mkuu nakukubali sana kwa mabandiko yako, vilevile nakumbuka ukiwa mwalimu wangu ulikua unatupa lecture zenye data za kutosha na za uhakika. Ubarikiwe sana mkuu na usonge mbele.
 
Awaambie ukweli wacanada kwamba ameshindwa kulipa deni na nyumba yake imepigwa mnada..
yote kwa yote..usaliti ni mbaya sana..hasa ukidanganywa na mama watoto

Kuna nyuzi hapa zilidai Dr. kapewa pesa nzito nafikiri sio chini ya dola au paundi milioni moja. Sasa hiyo nyumba ina thamani gani hadi ashindwe kuilipia? Kuna ukweli gani kwenye habari hizi? Au ndio kumsanifu?
 
Naomba viongozi wakuu wa ukawa waitishe harambee tumchangie babu arudi bongo...ikiwezekana tumnunulie nyumba...na tumpe onyo kiwa sisiem hawafadhiriki na tumtakie maisha mema...pia wakati huo gwajima amwambie josephine aachane nae....tumtafutie bibi mwinzake waleane wasubiri siku....ndio maisha atafanyaje sasa..
Watu mna maneno!!!! eti mzee mwenzie

Kweli babu alilikoroga
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
Alisababisha washindwe wanamwandama hadi leo
 
Ni kweli maisha yake yako hatarini unadhani atalala wapi na ghetto limepigwa mnada.
 
Hakuna hata anayetaka kumdhuru asifunge watu kamba, aibu yake kuwa akirudi Nchini hata washkaji wakunywa nao kahawa atakuwa hana kwa usaliti wake........wampe na tusimuone tena huku Tz.
 
Kuna nyuzi hapa zilidai Dr. kapewa pesa nzito nafikiri sio chini ya dola au paundi milioni moja. Sasa hiyo nyumba ina thamani gani hadi ashindwe kuilipia? Kuna ukweli gani kwenye habari hizi? Au ndio kumsanifu?
Umeshawahi kuandikiwa check ukachukue hela toka kwenye closed account?
 
Mmecharuka kumponda Dr.Slaa bila kujua hizo taarifa ni kweli au fitna tu! Kosa lake nini? Chuki gani hiyo kwa Dr.Slaa hata downfall ndogo tu tena ya majungu muifurahie kama hivi!! Kumbukeni hakuna adui au rafiki wa kudumu katika siasa! Au mshasahau huu usemi maarufu
 
Habari za kutoka magazetini leo asubuhi itv zimesema kuwa Dr. Slaa ameomba ukimbizi huko Canada kwa madai kuwa maisha yake yamo hatarini Tanzania!

Swali: Ni nani huyo anayetishia uhai wa Dr.Slaa?
.
Ni Magufuli na chama chake .Baada ya kumuingiza chaka wamempaki pembeni!
.
 
Hahaha.....maandiko yametimia.
Ile dhambi imeanza kumtafuna.

Ningemshauri kabla hajaenda Canada aje kwanza kuzungumza na television kuhusu mkwamo wa demokrasia Zanzibar.Aweke yote hadharani.
Haha!
 
Enyi wafuasi wa Lowasa, acheni kumdhalilisha Dr Slaa.....mchango wake wa kuifikisha CDM hapo ilipo si wa kudhihakiwa, nyie wakuja tu hamkawii kurudi mlikotoka.
 
Back
Top Bottom