Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Naam! Gwajima kinachomtia hatiani ni maneno makali lakini kusudio lake lilikuwa fine
Kwa mwenye akili atajifunza jambo hapa.Kuanzia urafiki wa SLAA na GWAJIMA na kutukanwa kwa kardinali PENGO.Kwani hata mwanasheria wa Dr Slaa ndg John Malya ndio mtetezi wa Gwajima polisi.
 

Attachments

  • 1427546602368.jpg
    1427546602368.jpg
    16.7 KB · Views: 285
  • 1427546622355.jpg
    1427546622355.jpg
    25 KB · Views: 268
  • 1427546652828.jpg
    1427546652828.jpg
    44.6 KB · Views: 270
Mkuu hata kama unamchukia Gwajima kwa maneno makali dhidi ya Pengo kitu ambacho sikubaliani naye pia, lakini kwenye hili la afya ni vema kumjulia hali kwani uhai kwanza mambo mengine baadae. Slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana.

Hahahaaaa
 
Kwa mwenye akili atajifunza jambo hapa.Kuanzia urafiki wa SLAA na GWAJIMA na kutukanwa kwa kardinali PENGO.Kwani hata mwanasheria wa Dr Slaa ndg John Malya ndio mtetezi wa Gwajima polisi.

Hahahaha!! Nadhani ndg, Jonh Malya ni mwanasheria mzuri ndo maana Gwajima aliamua kumtumia. Mtu makini hula nchi.
 
Kutokwenda kumjulia hali huyo Nabii feki kusingempunguzia kitu Slaa kuliko kwenda,wakatoliki na waislam watakua na maswali mengi ya kujiuliza juu ya Slaa kushirikiana na mhuni huyo

we akili zako zote zishaishia kwenye udini kila kitu kinachofanyika unataka kubalance na dini.
 
So mlitaka asiende kumsabahi mgonjwa,kama ww unagombana na mtu usilazimishevpia wengine tugombane hata bila sababu!!!
 
Pnlice kuna nini hata Lipumba alitoka hoi.Anayaweza Mbowe na Mtikila.
 
Kwa mwenye akili atajifunza jambo hapa.Kuanzia urafiki wa SLAA na GWAJIMA na kutukanwa kwa kardinali PENGO.Kwani hata mwanasheria wa Dr Slaa ndg John Malya ndio mtetezi wa Gwajima polisi.

connecting dots. . .
 
Dr Slaa Vs Mahimbo =JOSEPHINE
Gwajima Vs Mbasa= FLORA

Ndege wafananao huruka pamoja.

Mchunge mkeo kwa usalama wa ndoa yako.

Profesa wa Kichina Vs Migiro = Asha Rose
Profesa wa Kichina Vs Wazazi = Wanawake wenye Afya

Lock up your wives, lock up your daughters, el professor chino is in town.
 
Serikali imeelemewa inatugawa wakristo kuhusu katiba kwakuwa tumeungana kuikataa
 
Back
Top Bottom