Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Waumini gani wanaoshangaa? Labda wewe peke yako na hilo lilikuwa tamko la maaskofu sio waumini. Waumini tutaangalia ni nini tunataka, kupiga kura ya ndio au hapana linatuhusu sisi waumini sio maaskofu watuamulie pigeni kula ya hapana.

Mpaka nimefikia umri huu nafanya maamuzi mimi mwenyewe sio askofu anisurutishe, jamani Tanzania yetu ni ya demokrasia.

Viongozi wa serikali ya chama cha mapinduzi kila wakifanya mikutano yao,wito wao kwa wananchi ni jitokezeni kujiandikisha na mpigie rasimu ya katiba kwa kura za ndio...
 

Attachments

  • 1427727516749.jpg
    1427727516749.jpg
    8.7 KB · Views: 186
ACE HOOD kaimba"Fu** the world and gvt to" so gwajima kusema maneno yale na compare na maneno ya ace Hood
 
Kama hadi leo kwa umri huo wako unachojua ni kwamba Pengo ni mkuu wa Kanisa Tanzania, naihakikishia JF kwamba wewe sio Mkatoliki, na watu wa dizaini hii ndio huwa wanakuja kutusumbua kutaka wabatizwe ukubwani wakati wanataka kufunga ndoa

Mkuu kwani kubatizwa ukubwani kunasababisha usumbufu?
 
Kaa kimya Gwajima humuwezi hata kidogo! Nenda TMJ ucheki ulinzi wake umetapakaa kila kona acha kabisa!! Analindwa na Makachero wa KIKWETE

Majani ya mpapai na sigara za makaratasi zimekuharibu.
 
Kanisa linatoa msimamo kiongozi mkuu anapingana nao. Huyu ni Kadrinali, sio Mkatoliki kama mimi, kwahiyo akisema umma unamfuata, na hilo ndio lengo la wanaopigia chapuo hii katiba mpya.

umesema vizuri na kuweka msisitizo kura ya HAPANA huku ukijua kuwa matokeo kwa Tanzania hayategemei sasa wapiga kura bali WANAOHESABU KURA. kwahiyo katiba mpya ikipigiwa kura LAZIMA itapita.

na hilo ndio lengo halisi la walioiandaa. Sasa Ukimuona Kadrinali huku akijua kuwa WANAOHESABU KURA ndio wataamua matokeo kwa makusudi anakupeleka huko, lazima ujiulize KULIKONI?

Kwanza inabidi ufute kauli yako kuwa fedha za wananchi ziliibwa kupitia kanisa. Afterall Raisi alishasema fedha za ESC
RWO siyo fedha za umma na hata ripoti ya CAG haisemi kuwa ni fedha za umma ila kunaweza kuwa na fedha za umma kwa njia kodi na ndio maana waliopata mgao walitakiwa walipe kodi. Unaweza kulipa kodi kwenye fedha za umma?
Kwa mantiki iyo kusema fedha za umma ziliibwa kupitia kanisa sio sahihi, maana kama Rugemalira angekuwa ameiba angekuwa ameshakamatwa! Kama fedha za Rugemalira ni halali, kosa la benki liko wapi hapo?

Pili, kazi ya kiongozi ni kutoa maamuzi hata kama yanapingana na taasisi yako maadam unaamini ndio maamuzi sahihi. Mbona Raisi Kikwete ariamua kuruhusu mchakato wa katiba mpya wakati haukuwa msimamo wa chama chake? Mbona sijakusikia ukimlaumu Kikwete kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama chake?

Mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa 80% ya watanzania walipendelea Chama kimoja lakini Mwl.Nyerere alienda kinyume na matakwa ya wengi na ndio maana leo una CHADEMA, what if kama nae angesema wengi wape?[/QUOTE]




Takwimu ya 80% kwa ajili ya kuundwa kwa mfumo wa vyama vingi inatumika vibaya kupotosha.

Kwanza wengi waliokua wamehojiwa walikuwa ni makada na wanachama hai wa CCM.
Wengi walikua wanashinikizwa kutokana na chama kushika hatamu.Mtu yeyote aliyeinekana kuwa ana mawazo ya kuanzishwa kwa vyama vingi alionekana kama msaliti na mhaini hivyo wengi walikua waoga kutoa mawazo yao kwa uwazi.Na Nyerere alilijua hilo ndio maana hakutaka aliunga mkono mawazo ya wachache kwani alijua watu wengi hawakua wanachama hai na makada wa chama japo walikua na kadi za ccm.

Pia wakati huo vijana wengi hawakua na mwamko wa kisiasa.

Maoni yale yalikuwa na mizengwe mingi sana.

Baada ya Mwalimu Nyerere kung'atuka aligundua makosa mengi yaliyokuwepo na aliyokua ameyafanya. Aligundua watanzania wengi hawakuwa huru kutoa maoni yao.
 
Back
Top Bottom