Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Mi Mwenye Mkatoliki Mkuu!Kwakweli Kiongozi Wetu Wakidini Katuchanganya Wengi,namfaham Msimamo Yake Mda Mrefu,alikuwa Mtu Wa Watu,mtetea Wanyonge Na Msema Kweli Kuhusu Kutetea Haki Za Wanyonge.Lkn Kwa Hili Amejikoroga.

Kakuambia utumie akili yako ndo anakukoroga?? We wa wapi??
 
honger sana Dk. Josephat Gwajima.
Naamini Mungu yu pamoja nawe..na nina hakika ukwel utajulikana na uongo utaonekana na aibu itaibuka juu yao.
Mshale na uchome kwenye mabampa yao ya chuma kwa Jina La Yesu!..
 
Kweli mkuu nimepata Jazba kwasababu haya mambo yamenifadhaisha. Fedha za wananchi maskini zinaibwa kupitia kanisa.

Kanisa linatoa msimamo kiongozi mkuu anapingana nao. Huyu ni Kadrinali, sio Mkatoliki kama mimi, kwahiyo akisema umma unamfuata, na hilo ndio lengo la wanaopigia chapuo hii katiba mpya.

umesema vizuri na kuweka msisitizo kura ya HAPANA huku ukijua kuwa matokeo kwa Tanzania hayategemei sasa wapiga kura bali WANAOHESABU KURA. kwahiyo katiba mpya ikipigiwa kura LAZIMA itapita.

na hilo ndio lengo halisi la walioiandaa. Sasa Ukimuona Kadrinali huku akijua kuwa WANAOHESABU KURA ndio wataamua matokeo kwa makusudi anakupeleka huko, lazima ujiulize KULIKONI?

Kanisa linatoa msimamo kiongozi mkuu anapingana nao. Huyu ni Kadrinali, sio Mkatoliki kama mimi, kwahiyo akisema umma unamfuata, na hilo ndio lengo la wanaopigia chapuo hii katiba mpya.

umesema vizuri na kuweka msisitizo kura ya HAPANA huku ukijua kuwa matokeo kwa Tanzania hayategemei sasa wapiga kura bali WANAOHESABU KURA. kwahiyo katiba mpya ikipigiwa kura LAZIMA itapita.

na hilo ndio lengo halisi la walioiandaa. Sasa Ukimuona Kadrinali huku akijua kuwa WANAOHESABU KURA ndio wataamua matokeo kwa makusudi anakupeleka huko, lazima ujiulize KULIKONI?[/QUOTE]

Kwanza inabidi ufute kauli yako kuwa fedha za wananchi ziliibwa kupitia kanisa. Afterall Raisi alishasema fedha za ESCRWO siyo fedha za umma na hata ripoti ya CAG haisemi kuwa ni fedha za umma ila kunaweza kuwa na fedha za umma kwa njia kodi na ndio maana waliopata mgao walitakiwa walipe kodi. Unaweza kulipa kodi kwenye fedha za umma?
Kwa mantiki iyo kusema fedha za umma ziliibwa kupitia kanisa sio sahihi, maana kama Rugemalira angekuwa ameiba angekuwa ameshakamatwa! Kama fedha za Rugemalira ni halali, kosa la benki liko wapi hapo?

Pili, kazi ya kiongozi ni kutoa maamuzi hata kama yanapingana na taasisi yako maadam unaamini ndio maamuzi sahihi. Mbona Raisi Kikwete ariamua kuruhusu mchakato wa katiba mpya wakati haukuwa msimamo wa chama chake? Mbona sijakusikia ukimlaumu Kikwete kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama chake?

Mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa 80% ya watanzania walipendelea Chama kimoja lakini Mwl.Nyerere alienda kinyume na matakwa ya wengi na ndio maana leo una CHADEMA, what if kama nae angesema wengi wape?
 
attachment.php
attachment.php

Hivi , lini JK atamtembelea askofu?
 
Sasa Pengo anaingiaje kwenye thread hii? Mkombozi Bank inaingiaje kwenye thread hii? Wakati mwingine ni heri kukaa kimya ili watu waendelee kuwa na shaka, kuliko kufunguka na kuondoa shaka yote (kuwa wewe ni mpumbavu)

Hujambo ndugu!
Huwezi kuzungumzia habari za Gwajima ukamuacha Pengo pengo ndo chanzo cha matatizo; ajipime upya ajiulize bila yeye Gwajima angekuwa TMJ sasa hivi?
 
Mzee siku hizi ana pozi anapochukuliwa picha usipime!!
 

Attachments

  • 1427723251420.jpg
    1427723251420.jpg
    57.8 KB · Views: 121
Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa

Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. Kwanza fedha za umma kwaajili ya kusaidia watu maskini wanaokufa bila dawa mahospitalini yameibwa kupitia benki yake. Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, na huenda aliweka utawala wa benki hiyo kimaslahi zaidi

Upande wa pili wananchi wanakiu ya kupata katiba itakayowapa matumaini mapya, yeye anajiengua na kukaa upande wa wanyonyaji.

Kiongozi gani wa kidini mwenye tabia hiyo? Baba gani wa kiroho mwenye tabia hiyo?

Halafu anakuja na neno eti nimesamehe?

Namuona huyu Pengo ni msaliti kwa wakatoliki, msaliti kwa wakristu na msaliti wa watanzania

kisa slaa kamtembelea mshageuka mpaka madhehebu yenu,acheni ufedhuri na akili za kushikiwa kuweni na misimamo thabiti yaani kila kitu akifanya slaa nanyie mnaona sahihi tuuu...
 
Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa

Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. Kwanza fedha za umma kwaajili ya kusaidia watu maskini wanaokufa bila dawa mahospitalini yameibwa kupitia benki yake. Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, na huenda aliweka utawala wa benki hiyo kimaslahi zaidi

Upande wa pili wananchi wanakiu ya kupata katiba itakayowapa matumaini mapya, yeye anajiengua na kukaa upande wa wanyonyaji.

Kiongozi gani wa kidini mwenye tabia hiyo? Baba gani wa kiroho mwenye tabia hiyo?

Halafu anakuja na neno eti nimesamehe?

Namuona huyu Pengo ni msaliti kwa wakatoliki, msaliti kwa wakristu na msaliti wa watanzania

Kwa usahihi Askofu Pengo sio kiongozi wa kanisa katoliki Tanzania, Bali ni Askofu mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam na pia ni kadinali (mmoja wa maaskofu wanaomchagua papa ikihitajika na pia kuna baadhi ya vikao muhimu vya Vatican ni mjumbe). Kwa taarifa kuna nchi nyingi tuu zina makadinali zaidi ya mmoja.

Mkuu wa kanisa katoliki Tanzania ni Raisi wa TEC. Ambaye kwa sasa sio Askofu Pengo.
Nawasilisha mkuu
 
Hujambo ndugu!
Huwezi kuzungumzia habari za Gwajima ukamuacha Pengo pengo ndo chanzo cha matatizo; ajipime upya ajiulize bila yeye Gwajima angekuwa TMJ sasa hivi?
Unajua watu wasomi huwa wanaweka mambo yanakuwa bayana kabisa. Ndugu karumbeta, nakuomba sana utusaidie kwa hili, tena nadhani halitakugharimu muda wako. Naomba uniandikie hapa kuwa kuwepo hospitali kwa Gwajima kumesababishwaje na Pengo. Bahati mbaya sana kila niliyemuuliza hakunijibu swali hili, labda wewe utanijibu, na utakuwa umejijengea heshima humu kwa kujibu hoja kwa hoja bayana.
 
Mkuu,
Yaani wewe unajinasibisha kama mkatoliki halafu unajiondoa kwenye umiliki wa benki ya wakatoliki?.

Hufahamu kama sadaka zako ndizo zimewezesha uwepo wa benki?

Hufahamu kuwa wewe ni mmoja wa shareholder wa benki?

Ndio umuhimu ya JF mkuu nami napata fursa kujifunza pale ninapopotoka au kukosea
 
kisa slaa kamtembelea mshageuka mpaka madhehebu yenu,acheni ufedhuri na akili za kushikiwa kuweni na misimamo thabiti yaani kila kitu akifanya slaa nanyie mnaona sahihi tuuu...

Ndugu;
Tuwe wawazi katika jambo hili, hapa hakuna kufumba fumba, ni kweli Gwajima alikoleza maneno makali yakaharibu ujumbe wake mzuri dhidi ya pengo. Lakini pengo ndo mwenye chanzo cha haya yote.

Anachokifanya Dr slaa na prof.Lipumba ni jambo nzuri sana katika jamii yetu. Pengo naye kama ni kweli kamsamehe Gwajima aende TMJ amjulie hali kiongozi mwenzake wa kiroho tuache chuki tumuombee apone haraka Amina.
 
Kanisa linatoa msimamo kiongozi mkuu anapingana nao. Huyu ni Kadrinali, sio Mkatoliki kama mimi, kwahiyo akisema umma unamfuata, na hilo ndio lengo la wanaopigia chapuo hii katiba mpya.

umesema vizuri na kuweka msisitizo kura ya HAPANA huku ukijua kuwa matokeo kwa Tanzania hayategemei sasa wapiga kura bali WANAOHESABU KURA. kwahiyo katiba mpya ikipigiwa kura LAZIMA itapita.

na hilo ndio lengo halisi la walioiandaa. Sasa Ukimuona Kadrinali huku akijua kuwa WANAOHESABU KURA ndio wataamua matokeo kwa makusudi anakupeleka huko, lazima ujiulize KULIKONI?

Kwanza inabidi ufute kauli yako kuwa fedha za wananchi ziliibwa kupitia kanisa. Afterall Raisi alishasema fedha za ESCRWO siyo fedha za umma na hata ripoti ya CAG haisemi kuwa ni fedha za umma ila kunaweza kuwa na fedha za umma kwa njia kodi na ndio maana waliopata mgao walitakiwa walipe kodi. Unaweza kulipa kodi kwenye fedha za umma?
Kwa mantiki iyo kusema fedha za umma ziliibwa kupitia kanisa sio sahihi, maana kama Rugemalira angekuwa ameiba angekuwa ameshakamatwa! Kama fedha za Rugemalira ni halali, kosa la benki liko wapi hapo?

Pili, kazi ya kiongozi ni kutoa maamuzi hata kama yanapingana na taasisi yako maadam unaamini ndio maamuzi sahihi. Mbona Raisi Kikwete ariamua kuruhusu mchakato wa katiba mpya wakati haukuwa msimamo wa chama chake? Mbona sijakusikia ukimlaumu Kikwete kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama chake?

Mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa 80% ya watanzania walipendelea Chama kimoja lakini Mwl.Nyerere alienda kinyume na matakwa ya wengi na ndio maana leo una CHADEMA, what if kama nae angesema wengi wape?[/QUOTE]

nimependa ulivyojenga hoja yako Mkuu
 
Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa

Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. ... Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, ...
Kama hadi leo kwa umri huo wako unachojua ni kwamba Pengo ni mkuu wa Kanisa Tanzania, naihakikishia JF kwamba wewe sio Mkatoliki, na watu wa dizaini hii ndio huwa wanakuja kutusumbua kutaka wabatizwe ukubwani wakati wanataka kufunga ndoa
 
hivi hakuna uwezekano wowote wa kumhamishia nje ya nchi huyu askofu kwa uchunguzi zaidi ? sijawahi kuliamini jeshi la polisi la nchi hii .
 
Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa

Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. Kwanza fedha za umma kwaajili ya kusaidia watu maskini wanaokufa bila dawa mahospitalini yameibwa kupitia benki yake. Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, na huenda aliweka utawala wa benki hiyo kimaslahi zaidi

Upande wa pili wananchi wanakiu ya kupata katiba itakayowapa matumaini mapya, yeye anajiengua na kukaa upande wa wanyonyaji.

Kiongozi gani wa kidini mwenye tabia hiyo? Baba gani wa kiroho mwenye tabia hiyo?

Halafu anakuja na neno eti nimesamehe?

Namuona huyu Pengo ni msaliti kwa wakatoliki, msaliti kwa wakristu na msaliti wa watanzania

tatizo hata ulichoandika hukielewi.
 
Hana mvuto wa kuwa rais CHADEMA chagueni mwingine.
 
apone haraha maana amekataa unafiki,maana hata sisi hatumwelewi pengo inakuwaje TEC wanasaini halafu yeye anakuja kubisha?ashindwe kwa jina la YESU KRISTO KUTAKA KUGAWA KANISA KATHOLIC

Pengo ni muoga sana .
 
Back
Top Bottom