wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
nilijua tayari, ameshatangulia....
namtakia afya njema.
namtakia afya njema.
Sasa Pengo anaingiaje kwenye thread hii? Mkombozi Bank inaingiaje kwenye thread hii? Wakati mwingine ni heri kukaa kimya ili watu waendelee kuwa na shaka, kuliko kufunguka na kuondoa shaka yote (kuwa wewe ni mpumbavu)Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa
Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. Kwanza fedha za umma kwaajili ya kusaidia watu maskini wanaokufa bila dawa mahospitalini yameibwa kupitia benki yake. Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, na huenda aliweka utawala wa benki hiyo kimaslahi zaidi
Upande wa pili wananchi wanakiu ya kupata katiba itakayowapa matumaini mapya, yeye anajiengua na kukaa upande wa wanyonyaji.
Kiongozi gani wa kidini mwenye tabia hiyo? Baba gani wa kiroho mwenye tabia hiyo?
Halafu anakuja na neno eti nimesamehe?
Namuona huyu Pengo ni msaliti kwa wakatoliki, msaliti kwa wakristu na msaliti wa watanzania
Dr Slaa amtembelea Askofu Gwajima mchana wa leo 30/3/2015 hospitalini TMJ.
Viongozi mbalimbali wa kisiasa wameendelea kumtembelea askofu Gwajima aliyelazwa hospitalini TMJ Baada ya kuzimia akiwa anahojiwa na Polisi.
Mchana wa leo Mwenyekiti wa chama cha CUF prof Ibrahimu Lipumba alimtembelea askofu Gwajima hospitalini na baadae mchana wa leo tena katibu mkuu wa Chadema Dr Slaa naye amefika hospitalini hapo kumjulia hali askofu huyo.
Akiwa hospitalini hapo Dr Slaa amefurahi kuona kuwa afya ya askofu Gwajima imeimarika na sasa ametolewa chumba cha wagonjwa mahututi na kuhamishiwa wodi ya wagonjwa wa kawaida.
Naanza kupata mwanga wa waliokuwa nyuma ya matusi ya Gwajima kwa Kardinali Pengo.
huyo alievaa kama askari ndio slaa?
Mkuu,Hongera Gwajima, Hongera Dr Slaa
Mimi ni Mkatoliki lakini huyu Pengo amenikwaza sana. Kwanza fedha za umma kwaajili ya kusaidia watu maskini wanaokufa bila dawa mahospitalini yameibwa kupitia benki yake. Pasi na shaka kama kiongozi wa Kanisa Tanzania anawajibika, na huenda aliweka utawala wa benki hiyo kimaslahi zaidi
Upande wa pili wananchi wanakiu ya kupata katiba itakayowapa matumaini mapya, yeye anajiengua na kukaa upande wa wanyonyaji.
Kiongozi gani wa kidini mwenye tabia hiyo? Baba gani wa kiroho mwenye tabia hiyo?
Halafu anakuja na neno eti nimesamehe?
Namuona huyu Pengo ni msaliti kwa wakatoliki, msaliti kwa wakristu na msaliti wa watanzania
huyo alievaa kama askari ndio slaa?
Naanza kupata mwanga wa waliokuwa nyuma ya matusi ya Gwajima kwa Kardinali Pengo.
Naanza kupata mwanga wa waliokuwa nyuma ya matusi ya Gwajima kwa Kardinali Pengo.
Nadhani ndugu unakoelekea unatumia zaidi jazba badala ya kufikiri. Kwanza siyo sahihi kutumia maoni yako kuwaseemea wakatoliki wote.
Ni aibu kujitambulisha kuwa wewe ni muumini wa dhehebu fulani alafu hapohapo unsashindwa mtihani mdogo tu wa kuwavumilia wengine na kuheshimu maoni yao hata kama hukupendezwa nayo!
Kwani kama ni kupiga kura ya HAPANA kwenye katiba mpya, wewe mwenyewe kwa utashi wako huwezi kufanya hivyo mpaka unasubiri Kadinali Pengo ndio akuambie? Achana na umasikini wa kifikra, kuwa mtu huru unaweza kufikiri na kuamua na siyo kuburuzwa kama gogo!
huyo alievaa kama askari ndio slaa?