Kaenda kumuona Padri mwenzake...hatudanganyiki ngooooo
Alienda pia kuwatembelea na kuwafariji waumini wa msikiti ule ulioungua kinondoni
Akiamka Tuu kanisa halipo...Yani ameulizwa mali anapata wapi anapandisha pressure..
Maaskofu ni Viongozi na wanatakiwa wawaongoze Kondoo wao hasa kwenye Nchi ambayo mtu anadanganywa kwa Kapero na Kanga kuchagua Viongozi.Kumbuka Nchi ikichafuka kama Nigeria hata viongozi wa Dini hawatapata Kondoo wa kuwachunga na dalili zimeshaanza kuonekana kwa kuchomwa Makanisa na kuuawa mapadre na wachungaji.Waumini gani wanaoshangaa? Labda wewe peke yako na hilo lilikuwa tamko la maaskofu sio waumini. Waumini tutaangalia ni nini tunataka, kupiga kura ya ndio au hapana linatuhusu sisi waumini sio maaskofu watuamulie pigeni kula ya hapana.
Mpaka nimefikia umri huu nafanya maamuzi mimi mwenyewe sio askofu anisurutishe, jamani Tanzania yetu ni ya demokrasia.
na defender...
Maaskofu ni Viongozi na wanatakiwa wawaongoze Kondoo wao hasa kwenye Nchi ambayo mtu anadanganywa kwa Kapero na Kanga kuchagua Viongozi.Kumbuka Nchi ikichafuka kama Nigeria hata viongozi wa Dini hawatapata Kondoo wa kuwachunga na dalili zimeshaanza kuonekana kwa kuchomwa Makanisa na kuuawa mapadre na wachungaji.
Weka picha
Akitoka hapo akaripoti kwa Makonda jumatatu saa 4 bila kukosa au atatumiwa mgambo wa jiji wampeleke kwa nguvu.
kitendo cha ngwajima kumtukana kadinali wa kanisa catolic,kimemskitisha sana pope fransis na ametaka sheria ifuate mkondo wake.
Inashangaza habari nyeti kama hii haina picha za uthibitisho...!!
Endelea na hisiaNadhani kitendo cha Cardinal Pengo kwenda kinyume na Baraza la Maaskofu ambacho ndio chombo kikuu cha maamuzi kikanisa ndio limemshangaza zaidi Papa. Huenda asimshirikishe kwenye Vikao muhimu vya Kanisa maana anaweza kutoka na kupotosha Waumini.Hana Collective Responsibility.Kwa sasa Maaskofu wamemwacha na amekumbatiwa na kutetewa na Serikali.
Kuwachagulia ndio kuongoza, au unamuelimisha muumini na kumwacha mwenyewe aamue?
Kwani nani hajui kama slaa anamtumia gwajima kwa malengo ya kisiasa?
Policcm wamemdhuru haijajulikana kama ni sumu au kipigo.
Naamini kuna watu wengi tu humu wanaongea bila ya kuangalia alichosema Pengo.Askofu pengo ameamua kuwa askofu wa chama cha mapinduzi.kama ameaua hivyo basi avue joho avae gamba ili watanzania tujue kuliko kujificha.asofu pengo hukuwa hivyo nakushangaa.