Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Naamini kuna watu wengi tu humu wanaongea bila ya kuangalia alichosema Pengo.

that is the fact, watu wamekurupuka.......Hawajui Cardinal pengo alisema nini, Tungejua nini alichokisema hapakuwepo na hata mmoja angemtetea Gwajima....

Ni kosa kubwa sana kulinganisha Mahubiri ya Pengo na ujinga ujinga aliousema Gwajima....
 
Mkuu hata kama unamchukia Gwajima kwa maneno makali dhidi ya Pengo kitu ambacho sikubaliani naye pia, lakini kwenye hili la afya ni vema kumjulia hali kwani uhai kwanza mambo mengine baadae. Slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana.

Slaa ameenda Mara ngapi kuwafariji wagonjwa tena wengine wanahitaji msaada mkubwa zaidi ya Gwajima. Anaweza kudhani ni kiki kumbe kibuti.
 
Tatizo Gwajima akiona macho ya misukule yake anajiona kama anahutubia dunia,haya mahojiano ya polisi sukari,presha,machozi na kupumua mfululizo kumempata.Nadhani akitoka itakuwa fundisho na atamuogopa mungu na hatojiita NABII tena!

Vipi mkuu binkubwa wako amepona?
 
Unaivunjia hadhi Bukoba, huko sijaona watu wajinga wajinga wasiojuwa hata "idiom" ni nini.

FaizaFoxy, Msamehe Bure huyo shule hajawahi kwenda, hata mada kadandia, Hajui Pengo alisema nini wala Gwajima alijibu nini Kujibu watu wajinga itakuchosha akili yako maana kuna watu wamejaa ujinga ujinga na wamejiandaa kubisha na ujinga ujinga wao....
 
Dr slaa muungwana sana hana makuu! Lakini pia Pengo ajirekebishe! Huwezi kusaini makubaliano baadae unazungumza na vyombo vya habari kwamba mimi sikuhusika wala sikuwepo kwenye kikao cha maaskofu; huyu pengo ni tatizo hapa .

Soma tena......alichokisema Pengo....kama hukusoma ukamchukua Gwajima kama reference yako u have no reason to comment....Maana utakuwa unajidanganya...
 
Gwajima aliongozana makao makuu ya polisi,ili kuhojiwa akiambatana na John Mallya wakili wa chadema,hii inachanganya kidogo.

Chadema imeanguka kisiasa ili kiendelee kuishi kwa matumaini kimeamua kiishi chini ya mwamvuli wa UKAWA na Kanisa la ufufuo na uzima..
 
CCM ndiyo namba wani. Hunitoi ng'oo.

Sikutoka waakati inaongozwa na "haambiliki" ntatoka leo? fikiri.

Hakuna mahakama ya kadhi hata utembee uchi! Tumeshasema, na namshukuru JK kwa kuliona hilo! Tupilia mbali huo mchakato!
 
Gwajima anacheza na Pengo? akitoka huko ni heshima na adabu, hiyo ni bashraf mziki kamili bado.

Teh teh teh anachezea tundu la nyoka kwa kidole....

Aulize Sheikh Illunga alipopotelea baada ya kuichokonoa himaya ya pengo....

Umemsikia JK Leo? Kasema serikali haitoanzisha mahakama ya kazi ila anzisheni wenyewe na kuziendesha....

Pengo anatisha!!!!
 
Moja katika lugha nizijuwayo vizuri sana, kusoma, kuandika na kuongea ni Kiarabu. AlhamduliLlah, Mwenyeezi Mungu amrehem Maalim wangu Sharrif Junaid, aturehem na sisi tulio hai.

Sharrif Junaid ndiye mtu wa mwanzo kunifundisha Alphabet za Kiarabu. Kumbuka, neno alpha-be-t linatokana na herufi za Kiarabu Alif Be Te.

Ndo maana ulikua unashupalia limahakama la kiislam ili ukawe kadhi! Tumekukamata! Anzisha huko kwenu umuadabishe mumeo.
 
Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.

Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
Gwajima anafuata nyayo za kakobe, kwani kakobe aliisha sema atakaye mgusa Gwajima anamgusa yeye... na amepata wapi uthubutu wa kumtusi Pengo? Slaa kwenda kumuona gwajima tunajua hawa wawili wanafanana kwa kitu fulani
 
ukiangalia haraka haraka utauona upendo, lakini kwa kina kuna kachokochoko ka udini na kwa wazi kuwa Slaa ana bif na Pengo ambaye amewahi kuwa bosi wake wa kiroho.

Dr Slaa baada kumsakama Kikwete na familia yake kwa muda mrefu baada ya kuukosa urais,sasa hivi ameamua kupitia Gwajima amtukane PENGO baada kuona kuwa hajaunga mkono msimamo wa UKAWA kuhusu katiba iliyopendekezwa na suala la mahakama ya kadhi.
 
Mbona una matusi km askofu bandia wako?,gwajima hakumkemea pengo,bali alimtukana na kumfedhehesha kisha akamtishia kwa kuwaagiza malaika wamdhuru pengo,nadhani wakatoliki km tabia yao ya kutofanya mambo kwa kupayuka na sifa km ninyi,waliingia vyumbani na kufanya novena+kwaresma,ili kumuomba mungu amlinde kiongozi wao na matokeo yke ndo haya,aliye na mamlaka ya kuagiza malaika wamdhuru mtu kasalimishwa hospitali?,yapo mambo ya kujiuliza hapa,km jamaa ana uwezo wa kuamlisha malaika atakavyo yy,imeshindikanaje malaika hao kumlinda dhidi ya shambulizi la moyo,jamaa ni kanjanja tu hamna kitu,inabidi akipona waumini wake wamuulize,kwa nn wao wakipatwa shida yy hujidai kuwaombea na kuponya ila yy akizidiwa hukimbizwa hospitali
La kufanya,waumini wake nadhani wanaomba na kukemea saahizi,ili maombi yao mungu ayajibu wanatakiwa kutubu na kuomba msamaha kwa niaba ya huyo tapeli wao wa kiimani,ndipo sala zao zitakuwa na nguvu zaidi,poleni sana wana ufufuo kwa kuuguliwa na askofu feki wenu,maana miaka hii kila mtu anaweza jiita askofu nk,lkn tumuombee sote ili apone maana baada ya kupona akiyakumvuka maneno yake ya vitisho na kiburi nadhani atajifunza jambo hapo na ataondoa kiburi,wanadamu tuache kiburi na majivuno,mungu ndo hakimu wa kweli,tujinyenyekeze na mungu atatutetea kwa watesi wetu,

We aliyoyafanya Pengo mbona huongelei? Pengo alimkera kila mtu
 
Povu la nini? ulikuwepo wakati wa Nyerere? nnauhakika ungekuwepo usingejaribu hata kufananisha. Kumbuka hilo.

Kwani kufanya comparison ya level of development kunahitaji MTU uishi ktk vipindi vyote?

Leo tunafanya comparison ya karne ya 15 na Leo nani alikuwepo karne ya 15?

Simple question: nani kashindwa kutawala baina ya JK na Nyerere?
 
Back
Top Bottom