Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
ungetulia kwanza umalize siku zako. ona unavyojidhalilisha
Kumbe yupo kwenye siku zako ndo maana hana akili kabisa
ungetulia kwanza umalize siku zako. ona unavyojidhalilisha
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.
UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.
My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.
UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.
My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.
Mimi sio shabiki wa vyama vya siasa, ni mshabiki wa watu makini wenye kujali maslahi ya taifa....kipindi kidogo cha nyuma cdm ilikuwa moto wa kuotea mbali sababu ya umakini uliokuwepo,, mikutano ilikuwa na hamasa kubwa na vilikuwa vinashushwa vitu vya maana ndani ya mikutano ya cdm....mfano tu hii escrow saga ati mpaka sasa hivi hatuwajui wanufaika kupitia bank ya stanbic, kipindi kile tayari tumeshayajua kupitia dr slaa.Kipindi hiko Zitto kashika kanda ya magharibi, Mbowe anapasua kaskazini wakati dr slaa shaaaa mwembe yanga ndani ya daresalama.Ilikuwa ni combination ya hataree tofauti na hawa vijana wa sasa hivi mara kaeni kwenye tv muone nitakachofanya bunge likianza, kubali ukatae speed imepungua.
Nae Ifweero Amechuja Sana Na Mno KIAKILI.
Tufanye Dr. Slaa kweli apumzike!Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.
UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.
My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.
Kwani lini aliwahi kuwa na akili mpaka useme amechuja?
usiwasemee watanzania. jisemee wewe kuwa unamhitaji. maneno ambayo nadhani angepaswa kuyasema josephine
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.
UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.
My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.
ni kama wewe unayesema dr Slaa amechuja ni nani kakwambia!!? watanzania twamhitaji Dr Slaa, ndiye anayeweza kutuvusha kwenye hili tope tulimozama kama watanzania.usiwasemee watanzania. jisemee wewe kuwa unamhitaji. maneno ambayo nadhani angepaswa kuyasema josephine
Kwa umri wa Slaa,Josephine ni binti kabisa,imagine Slaa akiwa na miaka 30 eti Josephine ndo anazaliwa
Dr slaa ni mti wenye mema kurushiwa mawe ni kawaida Dr slaa ndo raisi wetu mtarajiwa
Matola Kumbe Na Wewe Ni Chai Chapati Maharage Mkuu?
Nyie ndo mnawaabudu watu,kwa sababu tu yupo upinzani au CCM,wengine hatuangalii yupo CCM,UKAWA ,au chama kingine chochote kile,kama kachemcha kachemsha tu na tutamsema bila kuangalia yupo wapi?
Too sad!
Mama Zitto naona umeingia kazini leoMkuu Mbona umejitokeza kwa kasi kumjibia wakati kipindi cha Scandal ya Mbowe hukujitokeza kumsaidia? Au wewe ni team Slaa?