Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Mama Zitto naona umeingia kazini leo
We kalio jiheshimu.Muache mama wa watu apumzike
Mama Zitto naona umeingia kazini leo
Hivi mashabiki wa Slaa kwanini mnambagua sana Zitto?Mama Zitto naona umeingia kazini leo
Sasa wewe Fa la unataka ujilinganishe na Dr slaa pambaf kweliTufanye Dr. Slaa kweli apumzike!
Swali:
Hata Kama yeye mwenyewe angependa kupumzika atakula nini kwa kuwa hakuwa mtumishi ambaye kwamba atapata pension. sio mfanya biashara kwamba ataendeleza biashara zake.
Mkewe bado anahitaji soap soap. Watoto ndio wengine wako Chekechea...
Kwa mazingira hayo utapumzika je hata Kama wataka?
Kwa yeye vita ya ufisadi ni muhimu akifikiria wako watazeeka vizuri wakati yeye mhhhhh
Tukuulize wewe Mkewe kwani hajakuambia nini alichokosea mashabiki wa CDM?Hivi mashabiki wa Slaa kwanini mnambagua sana Zitto?
Naona mke wa Nyepesi na wewe umeingiaWe kalio jiheshimu.Muache mama wa watu apumzike
Naona mke wa Nyepesi na wewe umeingia
wewe ndo unatakiwa kupigwa mawe kwa kushindwa kumuheshimu raisi wako mtarajiwa Dr Slaa.Wazinifu adhabu yao ni mawe haujakosea mkuu.
ccm ndo wamezoa kuingiliwa pande zote mwaka huu mtahama nchiKwa kuwa mmezoea kuingiliwa mtaa wa Ufipa
Haya! Wewe endelea kukata KIUNO.2010 ndio alikuwa moto kweli kweli. Aliingia kwenye mbio za urais akiwa mpya na hot kisiasa.baada ya hapo anaonekana kukata tamaa. Hata wenzake ndani ya upinzani wanaliona hili kupitia mszungumzo yake mwenyewe.zaidi anaona kwamba bora apumzike abaki kuibua vipaji vipya kuliko kujitokeza mwenyewe front..chadema wa groom kichwa kipya wakisimamishe urais kipambanishwe na kina lipumba wajaribu karata yao huenda wakapata kitu
Slaa aachwe apumzike, mikiki mikiki ya siasa haiwezi tena
Slaa aachwe apumzike, mikiki mikiki ya siasa haiwezi tena
acha propaganda za kijinga,kama kachoka ulitaka amsimamishe mmmmaaaaayyyaakko2010 ndio alikuwa moto kweli kweli. Aliingia kwenye mbio za urais akiwa mpya na hot kisiasa.baada ya hapo anaonekana kukata tamaa. Hata wenzake ndani ya upinzani wanaliona hili kupitia mszungumzo yake mwenyewe.zaidi anaona kwamba bora apumzike abaki kuibua vipaji vipya kuliko kujitokeza mwenyewe front..chadema wa groom kichwa kipya wakisimamishe urais kipambanishwe na kina lipumba wajaribu karata yao huenda wakapata kitu