Khantwe ccm hawanaga akili hata kidogo yaani ni matahira angalia sasa uyo anasema binti wa miaka 40Binti wa miaka 40...!!
busara kuntu kabisa hizi. mungu na akubariki sanaWewe na nani ndio mnahitaji?
Watanzania tulio wengi tulimkataa kwa njia ya sanduku la kura mwaka 2010. Na tumejipanga kuendelea kufanya hivyo kwenye chaguzi zijazo kama atagombea.
Naamini kabisa, mtu aliyeshindwa kuongoza familia, hawezi kuongoza Nchi.
Acheni ujinga,wengine hatuna vyama,msifikiri kila mtu anaekuwa kinyume na Slaa basi ni CCM.kwendrraa kule.Khantwe ccm hawanaga akili hata kidogo yaani ni matahira angalia sasa uyo anasema binti wa miaka 40
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mbona wewe hujampuuza? unatoa ushauri ambao wewe huufanyii kazi. halafu haileti picha picha nzuri kwa wewe kujibaraguza kwa ben saanane. hoja ndio ikubaraguzeMkuu Ben Saanane ifweero ni kati ya vijana wachumia tumbo wanaoona raha na sifa kutaja watu maarufu kwa mabaya ili wapate wachangiaji wengi. Tafadhali sana mpuuze
Lengo lenu huwa ni kupata wachangiaji wengi tu wa nyuzi zenu za kitoto.Mnajua mkitaja Slaa,Mbowe,Lema,CHADEMA,UKAWA na wa aina hiyo mtapata wachangiaji wengi.Bure kabisa LB7
Acheni ujinga,wengine hatuna vyama,msifikiri kila mtu anaekuwa kinyume na Slaa basi ni CCM.kwendrraa kule.
Acheni ujinga,wengine hatuna vyama,msifikiri kila mtu anaekuwa kinyume na Slaa basi ni CCM.kwendrraa kule.
soma signature yangu acha kupayuka jukwaani. hayo ni maneno ya dr slaa...je baba wa taifa anaweza kufuatiwa kifikra na mchovu wa namna hiyo?Watu wengine wapumbavu sana, fikilini kabla ya kusema, mnasahau Baba wa Taifa alivyokuwa mpaka anadead,halafu mnasahau hayo na kuwatukana wazee wanaomfuatia kifikra, acheni uhuni mnatuletea laana CCM.
ungetulia kwanza umalize siku zako. ona unavyojidhalilisha
Nyie ndo mnawaabudu watu,kwa sababu tu yupo upinzani au CCM,wengine hatuangalii yupo CCM,UKAWA ,au chama kingine chochote kile,kama kachemcha kachemsha tu na tutamsema bila kuangalia yupo wapi?Mumeo atakua anaishi kwa kutegemea ccm.. Maana ulichokiongea inaonesha kabisa una akili fupi za maccm.. Halafu ambao hawana vyama hawanaga upuuzi kama uliouandika hapa...!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums