Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Status
Not open for further replies.
Hana tena mvuto. kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake chadema mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. slaa apimzike tu. abaki na majukumu ya familia

Kawa dekio
 
Dr.W.Slaa jitokeze hadharani uwambie watanzania ni lini utaoa? Kesi yako imefikia wapi?
 

Attachments

  • 1421923286607.jpg
    1421923286607.jpg
    29.2 KB · Views: 314
Last edited by a moderator:
Ifweero, tafadhali kajipange tena hiyo single yako watu wameichoka , Watanzania si Wadanganyika tena wana kushangaa .....

Usitusemee ...jisemee mwenyewe.
 
Hana tena mvuto. kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake chadema mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. slaa apimzike tu. abaki na majukumu ya familia

1:Hoja yenye mvuto kwa sasa ni double standard ya Kinana kumuonea Mwigulu kwa sababu Mwigulu ameonyesha msimamo wa kuwashughulikia Mafisadi hasa kauli zake hatari kuhusu wezi wa ESCROW

2:Kama Slaa amechuja sioni mantiki ya wewe kutoa taarifa ya kutu-alert.Ulitakiwa ukae kimya kwa kuwa inawafurahisha ili tuendelee kukosea kumuamini

Vinginevyo unatoa ujumbe ambao ni kinyume na hoja yako
 
1:Hoja yenye mvuto kwa sasa ni double standard ya Kinana kumuonea Mwigulu kwa sababu Mwigulu ameonyesha msimamo wa kuwashughulikia Mafisadi hasa kauli zake hatari kuhusu wezi wa ESCROW

2:Kama Slaa amechuja sioni mantiki ya wewe kutoa taarifa ya kutu-alert.Ulitakiwa ukae kimya kwa kuwa inawafurahisha ili tuendelee kukosea kumuamini

Vinginevyo unatoa ujumbe ambao ni kinyume na hoja yako

Mkuu Ben Saanane ifweero ni kati ya vijana wachumia tumbo wanaoona raha na sifa kutaja watu maarufu kwa mabaya ili wapate wachangiaji wengi. Tafadhali sana mpuuze
 
Last edited by a moderator:
sawa amechoka tena sana,hofu yenu ya nini?

j.k anaujua mziki wake

msiwe na haraka tutajua kama amechoka au laah!
 
barabara bora za lami nchi nzima. hospitali za rufaa kila mkoa. shule za sekondari kila kata. chezea mkweree weyee

Akili yako imeishia hapohapo kwenye barabara za vodafasta zinazo bomoka kabla ya muda,na hizoshule zakata ambazo hazina walimu,nawalio kuwepoa hawalipwi mshahara kwa wakati.
 
Badala ya kujadili matatizo ya watanzania na kutoa suluhisho la kisera akajadili masuala binafsi kwa watanzania?Watanzania sio wadaku na wambea kama wewe

Mkuu Mbona umejitokeza kwa kasi kumjibia wakati kipindi cha Scandal ya Mbowe hukujitokeza kumsaidia? Au wewe ni team Slaa?
 
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.

Watu wengine wapumbavu sana, fikilini kabla ya kusema, mnasahau Baba wa Taifa alivyokuwa mpaka anadead,halafu mnasahau hayo na kuwatukana wazee wanaomfuatia kifikra, acheni uhuni mnatuletea laana CCM.
 
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.

Hamna kitu kibaya kama kutoa mawazo tena ukiwa kama unajisaidia uchochoroni,. Naona kama wewe ni mmoja wapo, pls maliza haja zako fresh, tulia come up with clear statement with evidence to support UR thinking. Have a Day.
 
usiwasemee watanzania. jisemee wewe kuwa unamhitaji. maneno ambayo nadhani angepaswa kuyasema josephine

Sawa mkuu,Dr. Slaa ni mwanasiasa mkomavu, mwelevu,aliyejaa weledi na tunayemhitaji kwa Tanzania tuliyonayo. Long live Dr.Wilbrod Peter Slaa. Tunakuhitaji Dr.Slaa,
 
barabara bora za lami nchi nzima. hospitali za rufaa kila mkoa. shule za sekondari kila kata. chezea mkweree weyee

Mateja kila kona sembe walawala, tembo uliwa kila saa, safiri kusiko na tija, hujui kwa nini watanzania ni maskini, ufisadi kila idara, maisha bora kwa kila mtanzania.
Chezea mkwere weeewe!!
 
Ana heri aliyechoka kuliko mdanganyifu wa umri, jina na daraja la shahada.Alaaniwe fisadi msaka urais wa Tanzania. Dr. Slaa ni mwanasiasa mkomavu, mwelevu,aliyejaa weledi na tunayemhitaji kwa Tanzania tuliyonayo. Long live Dr.Wilbrod Peter Slaa. Tunakuhitaji Dr.Slaa.Wewe furahisha baraza lakini Dr. Slaa anabaki wa kipekee

Wewe na nani ndio mnahitaji?

Watanzania tulio wengi tulimkataa kwa njia ya sanduku la kura mwaka 2010. Na tumejipanga kuendelea kufanya hivyo kwenye chaguzi zijazo kama atagombea.

Naamini kabisa, mtu aliyeshindwa kuongoza familia, hawezi kuongoza Nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom