Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Status
Not open for further replies.
ni kama wewe unayesema dr Slaa amechuja ni nani kakwambia!!? watanzania twamhitaji Dr Slaa, ndiye anayeweza kutuvusha kwenye hili tope tulimozama kama watanzania.
Wewe ni msemaji wa watz kuanzia lini? Sema wewe ndio unamhitaji.
 
Pole sana mleta mada, ivi unajisikiaaje ukiandika, Dr. Ambayo ni really? Dr. Slaa hauwezi kumlinganisha na mambumbumbu yaliyojaa Ccm, yule ndie mbadala na anayeweza kuisemea Tanzania kwa kile kilichoitwa maisha bora, ya mfuko wa cement kuuzwa 20,0000 wakati material ni yet. Ewe ifwero pole sana inawezekana ni mmoja wa mambumbumbu wa nchi hii tumia ubongo kuwaza kilaza wewe
 
Haka kaifweero tutakabatiza afi. .......rwe, maana analeta mada za kimgando,
SI USEME HATA ESROW INAFILIS NCHI, maliasili kama GESI ya mtwara KULIKO upuuzi unaousema
 
huna authority ya kuwasemea watanzania...wewe ni dagaa baharini
Ifweero na wewe fa.ra tu, mbona sentensi zako unatumia watanzania kuwa hawamtaki? kwa nini usiseme wewe mwenyewe, then unamshambulia Petro? Hovyo sana ndo maana tunasema nyani haoni kund.ule.
 
Ifweero na wewe fa.ra tu, mbona sentensi zako unatumia watanzania kuwa hawamtaki? kwa nini usiseme wewe mwenyewe, then unamshambulia Petro? Hovyo sana ndo maana tunasema nyani haoni kund.ule.
Mantisa kwetu ni uch.i wa mzee
 
Haka kaifweero tutakabatiza afi. .......rwe, maana analeta mada za kimgando,
SI USEME HATA ESROW INAFILIS NCHI, maliasili kama GESI ya mtwara KULIKO upuuzi unaousema
acha kutumia kichwa kufugia tu nywele
 
Pole sana mleta mada, ivi unajisikiaaje ukiandika, Dr. Ambayo ni really? Dr. Slaa hauwezi kumlinganisha na mambumbumbu yaliyojaa Ccm, yule ndie mbadala na anayeweza kuisemea Tanzania kwa kile kilichoitwa maisha bora, ya mfuko wa cement kuuzwa 20,0000 wakati material ni yet. Ewe ifwero pole sana inawezekana ni mmoja wa mambumbumbu wa nchi hii tumia ubongo kuwaza kilaza wewe

Matusi ya nini mchumia tumbo wewe? Slaa amechuja sana
 
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.
Mada hii ni chungu sana ufipa
 
Anatusemea watz, na wewe ifwero unawasemea waliokutuma. Endelea ni theory zako, Slaa yeye ni action tu. Unaobgelea habari za mpasuko, mbona sisi hatuuoni? Kumbe ule ulikuwa mpango wenu, mmeshindwa sasa, na majibu mmeyapata kwenye matokeo ya serikali za mitaa.
 
Haina uhusiano na kuchuja kwa slaa

Nadhani maccm ndiyo yamechuja,ufisadi na rushwa imeyafanya yachokwe kila mahali. Ushahidi ni chaguzi za serikali za mitaa na namna wanaolazimisha kuapishwa wanavyoshughurikiwa na raia wazalendo.
 
Siyo kuchuja tu mpaka amepauka.

1422105275125.jpg

Ngono zinachosha
 
Nadhani maccm ndiyo yamechuja,ufisadi na rushwa imeyafanya yachokwe kila mahali. Ushahidi ni chaguzi za serikali za mitaa na namna wanaolazimisha kuapishwa wanavyoshughurikiwa na raia wazalendo.

Ccm ni chama taasisi sio hizo saccos zenu za kichaga
 
.....yupi unayeweza kumlinganisha na DR.SLAA HAPA TZ,WEWE UNAONA RAHISI KUTAMKA LIST OF SHAME.......NDIO WALE WALE MAFISADI WANAOENDELEA KUUMIZA NCHI HII
Dr. Slaa--- Ndiye Rais ajaye Tanzania!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom