MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Angechuja ungepoteza muda wako kumaandika hapo... mbona hujamwandika Mrema au Dovutwa.. Hahaaa Dr. Slaa ni mwiba wa mafisadi
Mkuu angalie usitukane, huu ukweli mchungu kuhusu kuchuja kwa Mzee Slaa najua unawaumiza wengi.