Wewe Lunyungu acha sensationalise story yaani hicho kichwa cha habari ulivyokiweka kila mtu atajua ni Dr Salim Ahmed Salim!
Unaandka habari kama gazeti la ijumaa kichwa cha habari "Rais auawa!" ukisoma ndani Rais wa chama cha vinyoya!
Grow up mkuu u r bigger than that...
Ni kweli huyo msomi amekamatwa zaidi ya wiki moja sasa. Hajafunguliwa mashtaka na wenzake katika kituo cha Ifakara wanadhani kuna uhusiano na ziara ya rais Bush.
Chuma,
Heshima Mkuu!
Wewe umeangalia management ya Ifakara? Well kama siyo concidence Waislam kupewa kipaumbele kwa kuwa Mkurugenzi Mkuu ni Mwislamu kwa kweli sijui! Ila ukweli ni kuwa kuna tetesi za ajira za upendeleo!
Angalia hata hizi tuhuma za Dr. Salim Abullah hukutuhuiwa na ugaidi!
Ni watu wanasema mitaani mzee! Sasa utawazuia watu wasiseme? Lisemwalo lipo- sina ushahidi zaidi!
si kila lisemwalo lipo mkuu, mpaka tuthibitishe kuna watu wanasema kuna mungu na wengine wanasema hakuna sasa yote mawili yapo?
halafu ss wanasayansi tunasema tetesi hazifanyi kitu kuwa kweli.
na ndio wengine wakafika kusema no research no right of saying.
Mzalendo hivi mwislam kuwa Mkurugenzi ni UDINI?..tueleze hao walipo huko ni wamependelewa au haki yao?
Kama nilivyokueleza awali waambie walokutuma waweke AJIRA ya watu wato wote walioajiriwa hapo IFAKARA...au kama umefanya utafiti binafsi basi uweke hapa..usilete uzushi ukaipeleka Nchi Rwanda
Chuma,
Acha hasira- sisi Watz mambo ya Rwanda wewe ndo unasema! Watu wanasema kuna upendeleo ajira Ifakara kwa misingi ya dini---sasa this is a message!
Mbona tumeongelea kwa kina ukabila, upendeleo Ikulu, BoT N.k?? What is so special na Ifakara? Yet bahati mbaya Ifakara wameshatuhumiwa tayari kwa ugaidi..sasa nani unalaumu?
Kama ndo unapofanyia kazi basi rekebisheni mambo huko.. ni changamoto.. tujadili and we movefoward.. na sii kusema mambo ya kutumwa!
Sasa Hili za Salim Abdullah je ni mimi pia nimemsingizia?
Let us discuss beyond the box!
Ufsadi sii wizi tu wa mali ya uma ni pamoja na upendeleo kwa misingi ya rangi, dini n.k
Waungwana,
Sasa kama jamaa kakamatwa na kuhusishwa na ugaidi, mnataka serikali ifanye nini?
Hili jambo pelekeni mahakakama kuu na kama hakuna ushahidi wala hana case basi ataachiwa. Mbona huyo mwingine inasemekana kaachiwa?
Kama kweli ni gaidi mnataka serikali isifanye kazi yake mpaka nchi ilie?
No compromise kwenye issues za usalama wa raia na wageni wetu.
Lazima mujue hata magaidi wanaweza kuwa ndugu zetu, marafiki zetu na watu tunaoshinda nao kila siku.