Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Nimepewa habari hii na ndugu Ushirombo ikiwa na mada haya .Natafuta ukweli na kama kuna mwenye kuujua ukweli basi tuungane .Waandishi wa habari najua mnapita hapa tafadhali msiishie kwa Bush pekee saidieni kujua ukweli wa haya madai.
Dear Bro
Bwana kuna watanzania wamekamatwa na wanaojiita usalama wa taifa ati kuhusishwa na ugaidi wakati wa maandalizi ya kuja Bush Tanzania. Watu ninaofahamu nani uhakika nao mmoja wao ni Dr Salim Abdulla alikuwa ni mkuu wa kituo cha utafiti Bagamoyo Research and Training Unit (BRTU) ambacho kiko chini ya Ifakara Health Research Center. Dr Salimu amekamatwa wiki iliyopita kwa kuhusishwa na ugaidi, juhudi zimefanywa hadi kwenda kwa IGP na raisi lakini JK amesema ni issue ya FBI. Mkewe amehojiwa na ndugu wote lakini Dr Salim ameendelea kuwa rumande ..sijui kama sheria ya ugaidi ipo Tanzania pia? Kuna jamaa mwingine yeye anafanyia Ifakara Center anaitwa Fereji Mehboob pia alishika na kuhojiwa kwa masaa mengi na kuachiwa sasa sijui kwanini hawajamaa wanafanyia watu ukatili huo? Hizi ni habari nimeambiwa na jamaa waliokuwa wanafanya kazi bagamoyo na Dr Salimu Bagamoyo, ila kifupi kuna watu kibao wako ndani hadi Bush atakapoondoka Tanzania....kama unaweza fatilia itakuwa poa
Ushirombo
Dear Bro
Bwana kuna watanzania wamekamatwa na wanaojiita usalama wa taifa ati kuhusishwa na ugaidi wakati wa maandalizi ya kuja Bush Tanzania. Watu ninaofahamu nani uhakika nao mmoja wao ni Dr Salim Abdulla alikuwa ni mkuu wa kituo cha utafiti Bagamoyo Research and Training Unit (BRTU) ambacho kiko chini ya Ifakara Health Research Center. Dr Salimu amekamatwa wiki iliyopita kwa kuhusishwa na ugaidi, juhudi zimefanywa hadi kwenda kwa IGP na raisi lakini JK amesema ni issue ya FBI. Mkewe amehojiwa na ndugu wote lakini Dr Salim ameendelea kuwa rumande ..sijui kama sheria ya ugaidi ipo Tanzania pia? Kuna jamaa mwingine yeye anafanyia Ifakara Center anaitwa Fereji Mehboob pia alishika na kuhojiwa kwa masaa mengi na kuachiwa sasa sijui kwanini hawajamaa wanafanyia watu ukatili huo? Hizi ni habari nimeambiwa na jamaa waliokuwa wanafanya kazi bagamoyo na Dr Salimu Bagamoyo, ila kifupi kuna watu kibao wako ndani hadi Bush atakapoondoka Tanzania....kama unaweza fatilia itakuwa poa
Ushirombo