Waungwana,
Sasa kama jamaa kakamatwa na kuhusishwa na ugaidi, mnataka serikali ifanye nini?
Hili jambo pelekeni mahakakama kuu na kama hakuna ushahidi wala hana case basi ataachiwa. Mbona huyo mwingine inasemekana kaachiwa?
Kama kweli ni gaidi mnataka serikali isifanye kazi yake mpaka nchi ilie?
No compromise kwenye issues za usalama wa raia na wageni wetu.
Lazima mujue hata magaidi wanaweza kuwa ndugu zetu, marafiki zetu na watu tunaoshinda nao kila siku.
Mtanzania kumbuka huu si wakati wa Mwalim Nyerere mtu akikamatwa basi watu haturuhusiwi kuhoji. Lazima tuhoji...
Pia Jua Hapa tanzania ni sehm moja wapo Bill ya Ugaidi imepitishwa..(FISADI wenu MKAPA alitetea hii ktk the so called Hotuba za Rais)..ni BIll ya Uonevu ambayo amerika amefanya Kuhonga kupitishwa. Kama utawala wa kuzingatia HAKI za KIBANAADAMU kama mtu anahusika na ugaidi wampeleke MAHAKAMANI na si kukaa nae chemba then apelekwe Guantanamo...
Bahati Mbaya tangu Bill hii ipitishwe Victims wamekuwa Muslim proffessionals. Kenya wenzetu ni uonevu kwenda mbele. Tanzania tumeshuhudia Masheikh wakikamatwa na hili kitu ugaidi...eti mtu akishukiwa tu..Polisi wanaweza kukupiga Risasi hii sheria au uonevu? Iweje mtu akushuku tu...? Ndio pale tunapo muhoji MKAPA na askari wake ktk suala la mwembechai..eti kijana Chuki ATHUMAN kapigwa risasi eti ameonekana na Makaratas ya Uchochezi....Hayo makaratasi mlioyaona mkayasoma remotely?...
Waliomkamata wanatakiwa wamfikishe mahakamani...sio kukaa nae KUSIKOJULIKANA...is it? this is rule of Law?...
Tunaiomba Serikali yetu watoe Taarifa Maalum ya KUNAKULIKANA KWA Dr. Salim Abdulla...
Wengine jueni kuwa kazi alizokuwa anafanya ni proffessionals ya utafiti. na inajulikana Taasis ya Ifakara kwa muda mrefu imekuwa ina lead ktk reseach zake hasa ktk Tafiti za Ugonjwa wa Malaria.
Inavyoonekana ni kikundi cha watu chenye HUSDA baada ya kuonekana Dr. Salim anaoongoza taasis hio isio na UFISADI kama BUZWAGI, BOT na kwingineko.